Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,664
Wakuu habari za leo.
Nahitaji kiwanja chenye hati na kinachomilikiwa kihalali.
Maeneo yawe ni Mbezi Beach au Africana au Goba.
Anayeuza tafadhali anitajie bei kabisa PM ili kurahisisha maamuzi ya ununuzi. Ukinitajia bei unanirahisishia kuja kukiona maana hiyo bei tayari inakuwa nimeshajua kama naimudu ama la. Lakini kwa kitendo cha kujua bei na mimi kuja kukiona inakuwa tayari ni ishara ya kwamba bei naimudu.
Asanteni sana....
Nahitaji kiwanja chenye hati na kinachomilikiwa kihalali.
Maeneo yawe ni Mbezi Beach au Africana au Goba.
Anayeuza tafadhali anitajie bei kabisa PM ili kurahisisha maamuzi ya ununuzi. Ukinitajia bei unanirahisishia kuja kukiona maana hiyo bei tayari inakuwa nimeshajua kama naimudu ama la. Lakini kwa kitendo cha kujua bei na mimi kuja kukiona inakuwa tayari ni ishara ya kwamba bei naimudu.
Asanteni sana....