Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
Nimekuwa nahitaji niwe na kitambi kwa muda mrefu sana kwa kujibweteka tu sifanyi zoezi huku nikipendelea kula vyakula vya mafuta kama nyama, hasa ya kitimoto
Lakini bado sijaona manadiliko yoyote zaid ya kuwa kimbaumbau aliyenawili na ngozi iliyong'aaaaa
Nile nini niwe na kitambi wakuu
Maana kitambi kinaonesha wazi kwamba mwenye nacho sio wa kawaida ni mwenye pesa
Na mimi ninazo but sina muonekano huo
Ushauri please!
Lakini bado sijaona manadiliko yoyote zaid ya kuwa kimbaumbau aliyenawili na ngozi iliyong'aaaaa
Nile nini niwe na kitambi wakuu
Maana kitambi kinaonesha wazi kwamba mwenye nacho sio wa kawaida ni mwenye pesa
Na mimi ninazo but sina muonekano huo
Ushauri please!
