Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
- Thread starter
- #21
Na waathirika watumie niniTumia ARV's mkuu!
Na waathirika watumie niniTumia ARV's mkuu!
Ndio wapi huko na ninafikajeHamia SSM utamzidi mpaka wasira kitambi
Kweli mkuu ila mimi nahitaji cha kurizika na maishamaisha bana. Wengine wanahangaika kuondla vitambi wengine wanavitaka. Dooooh sio wote wenye vitambi wanazo, wengine utapiamlo
Zaidi sihtaji kile kinachoanzia kifuani! Kishuke chink kidogo kama mtung hiv hapo sawaDuh! M'Tanzania mwenzangu huyu.anataka kitambi,ok unatka kitambi gani? M'binuko M'bonyeo au M'chuchumio?maana kuna vingine vitambi havihitaji kula.vinahitaji kunywa mapombe kushiba yale ya vilabuni unakipata.sa hujasema unataka kitambi gani
Ata usijaribu!Ivi mtu akinywa kam si muathirika zitamdhuru?
Kwanini mkuuuna roho mbaya
Wee atatokwa na Maziwa /ChuchuKula ARV

Kwa wanaume zinatoa Maziwa / Chuchu tena saa 6Ivi mtu akinywa kam si muathirika zitamdhuru?
kwa wanawake cjajuaSina mpango huo mkuu ni swali tu!Ata usijaribu!
Kama ni ulemutuz simshauri kabisa!we ukitaka kitambi kula tu maboga na pombe za kienyeji utakuja niambiaaa kamaaa utakuwaaaa lemutuzzzzzzzzzzz
Carbohydrate na Starch kwa Sanaa. Kitambi fasterNimekuwa nahitaji niwe na kitambi kwa muda mrefu sana kwa kujibweteka tu sifanyi zoezi huku nikipendelea kula vyakula vya mafuta kama nyama, hasa ya kitimoto
Lakini bado sijaona manadiliko yoyote zaid ya kuwa kimbaumbau aliyenawili na ngozi iliyong'aaaaa
Nile nini niwe na kitambi wakuu
Maana kitambi kinaonesha wazi kwamba mwenye nacho sio wa kawaida ni mwenye pesa
Na mimi ninazo but sina muonekano huo
Ushauri please!