mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,910
- 18,558
Hauogopi kusafisha chumba na choo cha boss?Nakuja asubuhi, nafagia nyumba, natoa bustani naweka maua, napika Continental Breakfast kama hotelini, na chai, nasafisha chumba cha boss na choo yake na dawa. Naweka kila sehemu Airfreshener fragrance. Naendelea na kazi ningenezo. Boss anarudi anafurahi sana na anakupa mshahara kubwa. 🙂 🙂 🙂