Asenti... karibu kijiwe chetu KWA CHOTA...upate kitimoto ya mchicha!!!Sinywi pombe....ila mimi huwa napenda kujitegemea mara kwa mara....inshort me sio tegemezi
Yy anamtaftia mtu faida, aka me nataka marafiki wa kweli......me sio msanii Cartura
kumbe unasoma posts za kila mtu between the lines eeh... si unajua tuna kawaida ya kusahau tulicho-post before..
Atajiju, hapa niko full, msanii namsoma vilivo coz huenda alikolalia ndo nlikoamkia teh teh
Asante mimi nipo mpindimbi Masasi huku mkoani Mtwara
Mmmmmmmmhh Naijua hiyo sehemu, Hebu tutafutane kwa Email nina mpango wa kuja huko haraka iwezekanavyo. Naelekea Chiwata KM kadhaa toka hapo mpindimbi. Vipi bado mnatumia usafiri wa canter au now full bodaboda??
mm nipo mbeya wewe je?tusafiri wote kama vp?ila kama upo barabara ya mosh arusha mwanza,nimekukosa,,,teh teh
Tuwasiliane 0716830480
Tuwasiliane 0716830480
watu mnajilipua.....
watu mnajilipua.....