Wana JF kuna mzigo ninataka kulipia Kenya. Sasa kuna rafiki yangu ameniambia kuna baadhi ya wafanyabiashara wapo hapa Dar es salaam wana line za Safaricom na huwa wanafanya hii biashara
Yaani wewe unamlipa hela ya Tz ana convert to Kenya money then anamtumia mtu ambae yupo Kenya
Tafadhali any idea hawa jamaa nitawapata wapi hapa Dar es salaam?
Yaani wewe unamlipa hela ya Tz ana convert to Kenya money then anamtumia mtu ambae yupo Kenya
Tafadhali any idea hawa jamaa nitawapata wapi hapa Dar es salaam?