Nahitaji gari la Milioni 3 au 4

Nahitaji gari la Milioni 3 au 4

Asee inabidi utulize akili kweli, bora uchelewe upate gari nzima ,kuliko kuwahi kupata gari mbovu likakusumbua

Na yeye kasema hivyo ubishi wangu nitapata gari bovu[emoji30]
 
Hii hapa unaipata kwa 4.7milion only

Nitafute 0744033555

Nje inaonekana nzuri nzuri nitamtumia zile picha fundi nitakupa mrejesho maana hapa nadeal na fundi tu ye ndio atasema nifanyaje
 
Hataki kasema kama anataka nitulie anitafutie nzuri ila October kwasasa bajeti yake ndio hiyo kama zipo nikanunue mwenyewe yeye atakua anaweka mafuta ila vingine juu yangu (huu si mtegp jamani[emoji848]) na mm nimekomaa nataka hivyo hivyo namuita fundi tunaenda wote
Sikiliza nikuambie dada, huyo ni mumeo wa ndoa nikiwa na maana kwamba unamjua weakness zake kwa asilimia nyingi ~ ameahidi kukununulia gari tayari, tumia uanamke wako kumfanya ashawishike kukupa kilicho bora zaidi. Wanawake mnafeli wapi aiseee!

NB; Isiwe force impression badala yake ahiyari mwenyewe kwa wewe kuhusika kama catalyst
 
Nataka kufanya biashara ya home delivery maana tunabodaboda lakini haleti hela anasingizia mafuta anamaliza kwenye delivery za biashara zangu

Kwahiyo mume wangu kaniambia nitafute gari 3m-4m hata 5m sio mbaya naweza kuongeza mwenyewe
Utapata
vitz
Passo
Nadia
Isis
terrios kid
kirikuu
Passo .
GX 100 or 110
premio old
spacio Old
Na IST kwa mbaaali..

kama upo serious nipe kazi hiyo
 
Hello jf!!

Wapenzi mume wangu anataka kuninunulia gari, sasa kasema iwe kati ya 3m to 4m hivi[emoji16][emoji16] nitapata kweli nzuri?? Isiwe na matatizo matatizo jamani Na kwenye mafuta isiwe inakula sana,

Vipi vits/ist/ kigari kidogo tu[emoji87]


Kwa dar, japo kwasasa tupo mkoani soon tunarudi.
Passo ipo yenye cc kidogo kabsa itahifhadhi mafuta yako kabsa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom