Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Ni la kubebea maiti au la faya?
Sasa wewe nawe jammer hilo unataka la kazi gani tena ?
Nahitaji linisaidie kwa mizunguko yanguSasa wewe nawe jammer hilo unataka la kazi gani tena ?
Hilo Bora ununue ka bombadia kadogo.Nahitaji linisaidie kwa mizunguko yangu
Mkuu mtoa mada we umemwelewaje kwa upande wako,isije ikawa Yuko kwenye influence ya kijiti cha arusha,ajaribu sido labda.Nahitaji linisaidie kwa mizunguko yangu
Si hilo hapo umetuonesha
Kwani mwanangu hujui ni wapi yanapatikana au ulitaka kiki?
😂😂😂😂Mkuu mtoa mada we umemwelewaje kwa upande wako,isije ikawa Yuko kwenye influence ya kijiti cha arusha,ajaribu sido labda.