Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,514
- 42,644
Unataka kujua gharama za ku-clear? nipe details za gari mkuu
Ni 20000 us dollar mwaka 2003
CC: 2500
Unataka kujua gharama za ku-clear? nipe details za gari mkuu
ni vigari vizuri mkuu kwa kwendea kazini na mizunguko ya mjini, mafuta kananusa tu!
Hakuna binadamu anaejua yote na hakuna binadamu asiyejua yote kila mtu anaujinga katika suala lingine sijui wala sijawahi Fanya kazi za clearing and forwarding hivyo nakiri kabisa mambo hayo siyajui...
Ila kumiliki gari nimeanza siku nyingi sana....
Nyie wahehe bana kwa kujisifia khaa! Sasa nani kauliza kama we dereva mkuu? Anyway mambo vipi mkuu
Sijasema mi dereva hapo umenikosea....
Pili udereva sio sifa
Tatu mi sio muhehe
Ila hujajibu salamu tu, mzima
Mkuu?
Mi mzima
Sawa sawa niko napitia ukurasa wa Be foward hapa huenda na mm nikanunua moja kumbe cheap tu hivi
Yes tena wewe mwalimu una tax exempition
Eti eh? Ayayaayayaayaa kwa kweli nipe muongozo bana hapa nimeshaanza mchakato wa kufikiria kwenda kukopa baypot
Wadau nahitaji gari isiyozid hela tajwa hapo juu..nimeamishiwa ktk mkoa wenye barabara za hovyo,pia hakuna daladala hivyo nahitaji gari kwa bajeti hiyo..sio mbaya hata ikiwa old model provided inanusa wese bse huku hata mafuta uwa yanatabia ya kuadimika kutokana na ubovu wa barabara..