Nahitaji Gari isiyozid million 4

Nahitaji Gari isiyozid million 4

Hakuna binadamu anaejua yote na hakuna binadamu asiyejua yote kila mtu anaujinga katika suala lingine sijui wala sijawahi Fanya kazi za clearing and forwarding hivyo nakiri kabisa mambo hayo siyajui...

Ila kumiliki gari nimeanza siku nyingi sana....

Nyie wahehe bana kwa kujisifia khaa! Sasa nani kauliza kama we dereva mkuu? Anyway mambo vipi mkuu
 
ImageUploadedByJamiiForums1396177135.662854.jpg
Kweli hutu tugari ni cheap haaa
 
Eti eh? Ayayaayayaayaa kwa kweli nipe muongozo bana hapa nimeshaanza mchakato wa kufikiria kwenda kukopa baypot

Hahahahah baypot ni hatari mkuu utajutia...

Unatakiwa kuagiza gari isiyozidi miaka 10 nyuma then uwe na mshahara unaoanzia TGS D kwa maelezo zaidi muone CYBERTEQ
 
Last edited by a moderator:
Wadau nahitaji gari isiyozid hela tajwa hapo juu..nimeamishiwa ktk mkoa wenye barabara za hovyo,pia hakuna daladala hivyo nahitaji gari kwa bajeti hiyo..sio mbaya hata ikiwa old model provided inanusa wese bse huku hata mafuta uwa yanatabia ya kuadimika kutokana na ubovu wa barabara..

Mimi nina Suzuki Escudo, 3 doors, manual ipo fresh. Tatizo ina exemption.
 
ongeza 500k nikupatie suzuki eskudo 3door (arusha)
Rangi yake maroon (dam ya mzee) imepauka kidogo hivyo unaweza kuirudia ukipenda.
Nimeipaki kwa 3 months sasa...natumia gari nyingine...
 
Back
Top Bottom