Nahitaji Gari isiyozid million 4

Nahitaji Gari isiyozid million 4

Mbnative

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
332
Reaction score
77
Wadau nahitaji gari isiyozid hela tajwa hapo juu..nimeamishiwa ktk mkoa wenye barabara za hovyo,pia hakuna daladala hivyo nahitaji gari kwa bajeti hiyo..sio mbaya hata ikiwa old model provided inanusa wese bse huku hata mafuta uwa yanatabia ya kuadimika kutokana na ubovu wa barabara..
 
Wadau nahitaji gari isiyozid hela tajwa hapo juu..nimeamishiwa ktk mkoa wenye barabara za hovyo,pia hakuna daladala hivyo nahitaji gari kwa bajeti hiyo..sio mbaya hata ikiwa old model provided inanusa wese bse huku hata mafuta uwa yanatabia ya kuadimika kutokana na ubovu wa barabara..

Ukipata SUZUKI SAMURAI iliyo nzima itakufaa sana na hizo ndio beizake ingawa zimekwa adimu kiasi siku hizi.
 
Gari gani unahitaji??, au muhimu tu iwe na miguu minne??

Hapo vp tuongee beshara?
hooptay2.jpg
 
Wadau nahitaji gari isiyozid hela tajwa hapo juu..nimeamishiwa ktk mkoa wenye barabara za hovyo,pia hakuna daladala hivyo nahitaji gari kwa bajeti hiyo..sio mbaya hata ikiwa old model provided inanusa wese bse huku hata mafuta uwa yanatabia ya kuadimika kutokana na ubovu wa barabara..
Uko mkoa gani mkuu??
 
kweli mkuu Samurai huku ndo ingenifaa sana na nikipata nitashukuru sana..
 
nipo Katavi mkuu,barabara ni hovyo sana..
 
nikipata gari inayotumia mafuta kidogo itakuwa poa sana,pia iwe juu kutokana na ubovu wa barabara za huku
 
Mkuu sikukatishi tamaa ila inabidi utafute rafiki fundi makenika maanake hukawii siku unarudi nyumbani badala ya kumuita wife mama mbnative ukamuita mama clutch plate au mama cylinder head!!!
 
Nilikuwa nimeshapita, lakini nimeona ngoja nirui nikuibie siri ya bure. acha umiza kichwa, tafuta 1m ufikishe 5m kisha ingia online agiza suzuki kei, 650cc kana ground clearance nzuri tu, mafuta kananusa tu na hakatakusumbua.
karibu.
 
Wadau nahitaji gari isiyozid hela tajwa hapo juu..nimeamishiwa ktk mkoa wenye barabara za hovyo,pia hakuna daladala hivyo nahitaji gari kwa bajeti hiyo..sio mbaya hata ikiwa old model provided inanusa wese bse huku hata mafuta uwa yanatabia ya kuadimika kutokana na ubovu wa barabara..

mtwara,rukwa au kigoma
 
Nilikuwa nimeshapita, lakini nimeona ngoja nirui nikuibie siri ya bure. acha umiza kichwa, tafuta 1m ufikishe 5m kisha ingia online agiza suzuki kei, 650cc kana ground clearance nzuri tu, mafuta kananusa tu na hakatakusumbua.
karibu.

Suzuki kei
 

Attachments

  • 1396094713618.jpg
    1396094713618.jpg
    10.1 KB · Views: 325
Nilikuwa nimeshapita, lakini nimeona ngoja nirui nikuibie siri ya bure. acha umiza kichwa, tafuta 1m ufikishe 5m kisha ingia online agiza suzuki kei, 650cc kana ground clearance nzuri tu, mafuta kananusa tu na hakatakusumbua.
karibu.
Akishatoa hio 5m bei ya clearance na kodi zote itafika kiasi gani ?, Sababu mtu unapomshauri ni vema akajua kabisa gharama gari lisije kuozea bandarini na kukusanya storage charges akashindwa kulikomboa
 
Back
Top Bottom