Nahitaji gari aina ya Convoy war Bus

Nahitaji gari aina ya Convoy war Bus

Dodo18

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
315
Reaction score
93
Za jioni ndungu.. Kama tangazo linavyojieleza nilikua nahitaji Gari aina ya convoy war bus huwa zinatumika sana zanzibar kama usafiri wao kila siku.. Huwa ina milango miwili nyuma kama kabati.. Budget yangu 7 mpaka 8.5 million.. Namba yangu nii 0655325325.
 
Tafuta mobius pia inabeba abiria kati ya 6 mpaka 10.. Ukikosa unayoitaka ni ushaur tuu
 
Hiyo gari zile LDV convoy?kuna jamaa yangu anayi,anabebea watoto wa shule,naona kaipaki.Ngoja nimpatie namba zako
 
Km hili
 

Attachments

  • 1447192637190.jpg
    1447192637190.jpg
    30.8 KB · Views: 229
Za jioni ndungu.. Kama tangazo linavyojieleza nilikua nahitaji Gari aina ya convoy war bus huwa zinatumika sana zanzibar kama usafiri wao kila siku.. Huwa ina milango miwili nyuma kama kabati.. Budget yangu 7 mpaka 8.5 million.. Namba yangu nii 0655325325.

LDV CONVOY.....Leyland Daf Van....from UK
 
Hiyo gari zile LDV convoy?kuna jamaa yangu anayi,anabebea watoto wa shule,naona kaipaki.Ngoja nimpatie namba zako

Nitashkuru sana mkuu na unakua umenisaidia sana.. Namba yangu hii hapa 0655 325 325
 
Ni kweli Huku Zanzibar zipo Kibaoo zinapiga kazi fupi na route ndefu.
Ila kuwa na fundi,kuna aina ni imara sana na zinaingiliana spares,ila kuna aina ya hizo hizo ni kwamba ikiharibika lazima umpigia simu Steven Gerard au Michale Owen akutumie spare.

Kuna mtu analo,na iliingia kasumba kwamba hizi gari ni mbovu na ikiharibika ina lala,ila kumbe zina aina kama tatu hivi ila muundo ni mmoja,sasa lazima uwe mjinga kuuliza ili uambiwe,yalitajwa majina ya kitaalam ila mie sikuyashika.

Ila migari hii ipo poa sana,bonge la nafasi ndani,halafu inachukua watu wengi sana
 
Back
Top Bottom