Nahitaji Gari aina hii... Mwenye nayo...!!!

Nahitaji Gari aina hii... Mwenye nayo...!!!

Gody

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2010
Posts
1,250
Reaction score
418
Habari za sasa wapendwa
mimi nina shida sana na haka kagari kadogo dogo sasa naombeni msaada wenu ktk haya maswali yafuatayo:-
-Show room za Dar inapatikana kwa how much?
-Je bei yake ina range kwenye shingapi?
Au hapa hapa kama kuna mtu anakauza anambie anakauzaje?
-Je nikisema niwaagizie hawa mawakala kitoke moja kwa moja Japan/china inakuwaje utaratibu wake na bei zake?
Je wale wataalam mnaweza kunisaidia uimara au ubovu wake? Coz mi nakapenda kwa michongo yangu ila skajui wala sina uzoefu nako ndo maana naomba msaada kwenu!!!


SUZUKI_ST90

jamani natumia simu nimeshidwa ku-attach ndo maana nimeweka link ya picha moja kwa moja!!
 
Msaada tafadhali!!!
 
milioni kumi kipyaaaaaa 0 km pale Dt Dobie
 
nitafute nakiuza ila million 13 ila ni new model hiyo ilikuwa ya zamani ni Suzuki every land kimelipiwa kila kitu ni black
 
nauza noah ya mwaka 1998 nimeitumia miaka miwili
 
kama uko serious nikuunganishe na kaka yangu yeye anafanya biashara ya kuagiza magari japani na kuleta hapa kwa ajili ya mauzo hivyo kama una nia niPM nitakupa contact zake ili muwasiliane naye
Habari za sasa wapendwa
mimi nina shida sana na haka kagari kadogo dogo sasa naombeni msaada wenu ktk haya maswali yafuatayo:-
-Show room za Dar inapatikana kwa how much?
-Je bei yake ina range kwenye shingapi?
Au hapa hapa kama kuna mtu anakauza anambie anakauzaje?
-Je nikisema niwaagizie hawa mawakala kitoke moja kwa moja Japan/china inakuwaje utaratibu wake na bei zake?
Je wale wataalam mnaweza kunisaidia uimara au ubovu wake? Coz mi nakapenda kwa michongo yangu ila skajui wala sina uzoefu nako ndo maana naomba msaada kwenu!!!


SUZUKI_ST90

jamani natumia simu nimeshidwa ku-attach ndo maana nimeweka link ya picha moja kwa moja!!
 
Habari za sasa wapendwa
mimi nina shida sana na haka kagari kadogo dogo sasa naombeni msaada wenu ktk haya maswali yafuatayo:-
-Show room za Dar inapatikana kwa how much?
-Je bei yake ina range kwenye shingapi?
Au hapa hapa kama kuna mtu anakauza anambie anakauzaje?
-Je nikisema niwaagizie hawa mawakala kitoke moja kwa moja Japan/china inakuwaje utaratibu wake na bei zake?
Je wale wataalam mnaweza kunisaidia uimara au ubovu wake? Coz mi nakapenda kwa michongo yangu ila skajui wala sina uzoefu nako ndo maana naomba msaada kwenu!!!


SUZUKI_ST90

jamani natumia simu nimeshidwa ku-attach ndo maana nimeweka link ya picha moja kwa moja!!

Check kwa wahindi ndo gari zao hizi!!!
 
kama uko serious nikuunganishe na kaka yangu yeye anafanya biashara ya kuagiza magari japani na kuleta hapa kwa ajili ya mauzo hivyo kama una nia niPM nitakupa contact zake ili muwasiliane naye

pm tayar!
 
Nauza Altezza Gita mpya mili 12 ni pm basi nikutumie picha whatssup mkuu... Namba CLL
 
Nauza Altezza Gita mpya mili 12 ni pm basi nikutumie picha whatssup mkuu... Namba CLL


mkuu nahitaji hako ka mini coz kuna fursa ya kufanyia biashara naona nafasi ipo waz ndo maana nakahitajia hako kakitu!
 
Back
Top Bottom