DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,353
Na chuki zenu niwaweke plate number za nini?Mbona truck zenyewe hazina plate namba au ndio magumashi , haupo serious mkuu ndio maana unatukana tukana hovyo
Na chuki zenu niwaweke plate number za nini?Mbona truck zenyewe hazina plate namba au ndio magumashi , haupo serious mkuu ndio maana unatukana tukana hovyo
Mkuu ulitaka aweke plate number ? Ili iweje.Mbona truck zenyewe hazina plate namba au ndio magumashi , haupo serious mkuu ndio maana unatukana tukana hovyo
Maneno haya yote ya kazi gani mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23] ACHA KUFANYA REFLECTION. Itakuwa ww ndio una shida ya pesa basi unafikiria kila Mtu ana shida kama ww. Kumbuka usiseme HAKUNA PESA.. Sema sina pesa. Usifikirie kila mtu kafulia kama ww na ana muda wa kuandika ujinga kama ww.
Kiingereza kingi lkn kichwani empty kbsNina trucks 2. Sina zote 15. Ila nina connection ya kupata hizo nyingine. You want to deal with me, you follow my rules of trade. Otherwise, pita hivi!
Tajiri kichefuchefuNITAWARUDIA BAADAYE. I HAVE BUSINESS TO TAKE CARE OF AND WORK TO DO. SIO LAZIMA MTU ANIELEWE. SIISHI MAISHA KUFANYA WATU WANIELEWE AND SO FORTH. NAFUATA PRINCIPLES ZILIZONIFIKISHA HAPA KIMAENDELEO, AND I WILL NEVER CHANGE!!
113 hiyo kazi kazi haina makasiriko, pigeni hiyo biashara mkuu kupishana kauli inatokea sometimes, sisi ni binadamu.