Nahitaji dada wa kazi

Nahitaji dada wa kazi

honestly anaogopa bure, ni family ya baba mama na mtoto wa miezi 9, hatofanya kaz peke yake muda wote, kua huyo mama watakua wanasaidiana, mshahara ni elf 70 per month mama ni muajiriwa baba muajiriwa
Acha unyonyaji bas elf sabini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom