Basi wewe ni mwenzangu na mie! Huwa sina rafiki hata mtaani kwangu! Hata leo nikiulizwa rafiki yako nani? Sina jibu! Naomba uwe rafiki yangu wewe maana tunaendana!
mi nikiulizwa rafiki yako ni nani,,jibu ni sina kabisa,,we njoo piga story tucheke then potea,sasa mimi nawewe tukiwa marafiki tutakua tumevunja sheria yetu.