Wala sipotoshi na wala sina sababu hiyo, na hata wewe kama ni msomi wa biblia huwezi kuona biblia ikijisumbuwa kumuongelea bikira maria maisha yake baada ya Yesu na alizaa watoto wengine kwenye tumbo lake.Mama Kanumba yupo Dar zamani sana hata kabla ya Kanumba kuwa maarufu alienda kwenye msiba Bukoba wakati mwanae anafariki usipotoshe
Still haujui hesabu hata huo mwaka na miezi minne sio 1/3 ya miaka miwili!hiyo ni 2/3 mbumbumbuNadhani uelewa ndio janga la Taifa, ni wapi nilipoandika mwaka na miezi nane?
Popoma wahed.
Wapi nimesema ni credit?sasa kama ulikua haujui background ya mtu unayemuona hana umuhimu kwa nini ulitaka kuaminisha watu vinginevyo?Acha uzushiWala sipotoshi na wala sina sababu hiyo, na hata wewe kama ni msomi wa biblia huwezi kuona biblia ikijisumbuwa kumuongelea bikira maria maisha yake baada ya Yesu na alizaa watoto wengine kwenye tumbo lake.
Vivyo hivyo kwangu Matola sina sababu ya kumjuwa mama yake Kanumba kwanza siyo Celeb na tumemjuwa baada ya taarifa za msiba wa Kanumba, na hata huyo Kanumba kabla ya kumuona kwenye uigizaji sina interest ya kujuwa ametoka wapi.
Kama kwako kujuwa background ya mama Kanumba ni credit kwako take it all, goli tatu bila na point tatu.
Unazipenda namba japo hesabu hujui.Still haujui hesabu hata huo mwaka na miezi minne sio 1/3 ya miaka miwili!hiyo ni 2/3 mbumbumbu
Niko upande wa Lulu.
Mahakama ya kichwa changu. Haijapata uthibitisho. Lulu anahusika vipi na kifo cha kanumba.
Angetumia zana yoyote. Mfano kisu, panga, nyundo n. K. Hapo ningesema sawa.
MAHAKAMA HAINA MAKOSA. hakuna wa kulaumiwa.
Ni sehemu ya maisha yetu.
OMBA YASIKUKUTE.
Niko upande wa Lulu.
Mahakama ya kichwa changu. Haijapata uthibitisho. Lulu anahusika vipi na kifo cha kanumba.
Angetumia zana yoyote. Mfano kisu, panga, nyundo n. K. Hapo ningesema sawa.
MAHAKAMA HAINA MAKOSA. hakuna wa kulaumiwa.
Ni sehemu ya maisha yetu.
OMBA YASIKUKUTE.
Kuuwa ni kuuwa tu haijalishi umeuwaje!!! tabia mbaya ni tabia mbaya tu haijalishi unaifanya kwa mtindo upi!!! udogo wa miaka sio gigezo hata siku moja 18 is just a number!!! mtoto mdogo usiku wa manane unakwenda kwa watu kutafuta nini!!! Asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengo!!! usitetee ujinga hata kama aliyeufanya ni mtu wako wa karibu kiasi gani!!! ujinga ni ujinga tu..
Kubali wewe ni mtupu wa namba haya rudi uka edit!unabana pua kabisa eti 1/3 ya 2 years ni mwaka na miezi minneUnazipenda namba japo hesabu hujui.
Kwani jela wanagawa akili mkuu..??imekuumiza sana, yule binti aliyeshindikana na wazazi wake kufungwa, kwangu sioni tatizo kabisa, kila haki ipatikane kadiri iwezekane....
tulia yaache yapite, akitoka atakuwa na akili sasa
Kwani jela wanagawa akili mkuu..??
afu watu wanamsahau mbakaji mwingine ..Ali KibaAlichoniacha hoi huyo mama ati anaishukuru serikali ya awamu ya tano, haya ni mauzauza matupu hajui hata muhimili wa mahakama ni nini.
Huyu mama kwa mara ya kwanza nilimsikia amekuja kwenye msiba wa Kanumba Dar na mpaka leo amezamia Dar na hana hata mpango na mzazi mwenzanke Baba Kanumba na amejipa haki zote za urithi wa marehemu, huyu mama ni sehemu ya mashetani tunaoishi nao humu duniani wakiwa na maumbo ya binadamu.
Since day one, tulipopata taarifa za kifo cha Kanumba hapa JF mpaka leo msimamo wangu juu ya Kanumba haujawahi kuyumba wala kubadilika, kwangu Kanumba alikuwa ni mbakaji tu na wala si vinginevyo.
Mungu amuweke anapostahili.
Uhusiano mzuri ni ule wa hi na bye, Lulu alipotoka jela alianza kushinda na mama Kanumba mwisho waliishia jukwaruzana na kuitana majina.hapa fafanua dada.. mimi umeniacha gizani kabisa hata sijui hili jambo likoje...
Hahahahahaha...!!! Wapumbavu wengine wanaudhi. Eti wanasema "Jela ni shule". Mpeleke mwanao sasa kama unaona pazuri.Kuna Watu mna majibu ya ' Kunya ' jamani duh!
Tuko pamoja mkuu! Ila mimi nilienda mbele kidogo, Hata Lulu nilikiona ni kitoto kitukutu kisichosikiliza wazee wake,kilicho kububu umalaya bila kujali umri wake. kilichompata leo Lulu kimenikumbusha msemo wa Wahenga! Asiesikia la Mkuu huvunjika guu. Wacha ulimwwngu umfunze..
Since day one, tulipopata taarifa za kifo cha Kanumba hapa JF mpaka leo msimamo wangu juu ya Kanumba haujawahi kuyumba wala kubadilika, kwangu Kanumba alikuwa ni mbakaji tu na wala si vinginevyo.
Mungu amuweke anapostahili.
Still haujui hesabu hata huo mwaka na miezi minne sio 1/3 ya miaka miwili!hiyo ni 2/3 mbumbumbu
Shuleni watu wasiojuwa lolote ambao wanategemea kudesa mwalimu alikuwa akiwaita mbele ubaoni na kuwakabidhi chaki na kumuamuru mwanafunzi yule mdesaji alifundishe darasa zima jinsi alivyokokotowa na kupata jibu.Kubali wewe ni mtupu wa namba haya rudi uka edit!unabana pua kabisa eti 1/3 ya 2 years ni mwaka na miezi minne
Mwaka mmoja miezi 12;so miaka miwili ni miezi 24;kwa hiyo tutusa 1/3 ya miezi24 ni sawa na 24/3=8 so Mbumbumbu 1/3 ya miaka 2 ni miezi 8 ila kilaza 2/3 ya 24 ni (24×2)÷3=16 ambayo ni sawa na 12+4 au mwaka na miezi 4!nimependa ulivyotaka kujua kiujanja;una bahati huduma kama hizi wenzio wanalipia wewe debe tupuShuleni watu wasiojuwa lolote ambao wanategemea kudesa mwalimu alikuwa akiwaita mbele ubaoni na kuwakabidhi chaki na kumuamuru mwanafunzi yule mdesaji alifundishe darasa zima jinsi alivyokokotowa na kupata jibu.
Kwahivyo mkuu basi kwa heshima na taadhima naomba utufundishe sisi tusiojuwa hesabu formula uliyotumia kupata jibu hilo.
Haya mkubwa tiririka tunasubili utilio.