Nahitaji Critical Thinking hapa tafadhali

Nahitaji Critical Thinking hapa tafadhali

Two years ni michache kwa nadharia ya namba na uhalisia wa adhabu yake kwa aina ya kosa alilokutwa nalo Lulu,Ila ni Mingi kwa maana ya maisha aliyozoea na maisha mapya ambayo ataenda kuishi huko Lupango

Mwanadamu wa kawaida ana hulka ya vitu viwili katika maisha yake adaption ya mazingira yanayokuzunguka na pia kuwa na uwezo wa kusahau jambo hata kama lilikuwa kubwa kias gan ila hufkia mwisho na maisha yanaendlea, Hili swala linaonekana Gumu kwa pande zote mbili kwa sasa ila baada ya miez sita kuanzia sasa kila mtu ataanza kulichukulia kawaida kipind hicho na kifungo nacho kinakarbia kuisha.

Hii ni nafas pekee ya Lulu kujipanga na kurud upya uraian akiwa mkamilifu bila kuwa na mzigo wowote mgongon kwa maana atakuwa ameshatumikia adhabu yake, Kibiashara na aina ya maisha yake ya usanii inaweza kuwa ni opportunity nzur sana ya kubadlisha maisha yake kama akiamua kutumia vzur kutokuwepo kwake kwenye hii jamii, Atapata nafas ya kutafakari upya aina ya maisha yake na pia anaweza kuwa biashara nzur kwake kwenye tasnia yake ya usanii na matangazo kwa maana kila mtu atataka kujua nin kimtokea kwa kipind hicho alichokuwa huko,

Exclusive ya Maisha yake ya Jela inaweza kuwa ni fursa nzur ya kutengeneza kipato cha kutosha na kuanza maisha mengne kwa maana atapata nafas ya kufanya total overhaul ya maisha yake.

Ningekuwa Familia ya Lulu ningeshaur atumikie hii miaka miwili kuliko kufanya focus ya kukata rufaa kwa maana after two years na kwa umri wake bado mdogo atakuwa ameshautua huu mzgo mkubwa ambao ameish nao toka kifo cha kanumba.
1/3 ya two years ni mwaka mmoja na miezi minne ndio muda anaopaswa kutumikia Lulu gerezani kwa sheria za Magereza.
 
1/3 ya two years ni mwaka mmoja na miezi minne ndio muda anaopaswa kutumikia Lulu gerezani kwa sheria za Magereza.
So sio mbaya kama ni hvyo muda unazid kuwa mfupi kuliko kukata rufaa na kuanza tena kuliwazia swala moja at the same time huwez jua nn kitatoka kwenye hukumu ya rufaa pia
 
Kiufupi maamuzi ya hii kesi yaliitaji critical thinking na siyo vifungu vya Sheria full stop
 
Mkuu umeongea sana lakini kuua bila ya kukusudia ni kosa na kukifanya kitoto chini ya miaka 18 pia ni kosa, sasa bahati mbaya hukumu itakuja pale tu kosa la mwanzo litakalobainika.
Laiti kama marehemu asingekufa na kama ingebainika anakabaka haka kabinti basi angeshtakiwa yeye kwa ubakaji.

Kosa lililobainika ni binti kuua bila kukusudia na hivyo hukumu imehusisha kosa hilo.

Mwenye makosa na ahukumiwe lakini huwezi kumhukumu marehemu kwa vile ameshafariki na vile kosa lake halikubainika wakati bado yupo hai.

Binti hakusema kuwa alikuwa anabakwa na jamaa kwa vile alikuwa chini ya miaka 18 ila baada ya kukutikana na kosa la mauaji ndio tuseme kuwa jamaa alikuwa anakabaka eti ndio utetezi wake?

Mama wa marehemu furaha yake ni kuona vile sheria imechukua mkondo wake kwa vile ana uchungu na mwanawe na sidhani kama vile vile laiti kama mwanawe angekuwa hai na yeye angefurahia kusikia mwanawe anashtakiwa kwa kosa la ubakaji.

Mwenye makosa ya kuua bila kukusudia tumwache jamhuri imuhukumu na mwenye makosa ya ubakaji hakuwahi kupatikana na hatia ya ubakaji tumwache ahukumiwe na Mungu mwenyewe.
 
Alichoniacha hoi huyo mama ati anaishukuru serikali ya awamu ya tano, haya ni mauzauza matupu hajui hata muhimili wa mahakama ni nini.

Huyu mama kwa mara ya kwanza nilimsikia amekuja kwenye msiba wa Kanumba Dar na mpaka leo amezamia Dar na hana hata mpango na mzazi mwenzanke Baba Kanumba na amejipa haki zote za urithi wa marehemu, huyu mama ni sehemu ya mashetani tunaoishi nao humu duniani wakiwa na maumbo ya binadamu.

Since day one, tulipopata taarifa za kifo cha Kanumba hapa JF mpaka leo msimamo wangu juu ya Kanumba haujawahi kuyumba wala kubadilika, kwangu Kanumba alikuwa ni mbakaji tu na wala si vinginevyo.

Mungu amuweke anapostahili.

Nafurahi kuona kwamba siku hizi tunafanana sana Kimtizamo. Umenena vyema / sahihi kabisa.
 
Gentamycine mtu akiiba akafungwa ni sawa au kuna haja kumsamehe tu akiwa amemuibia mkristu?

Nimesema Ukristo hapo kwakuwa ndani ya Ukristo kuna kitu Kusamehe labda Wewe siyo Mkristo hivyo bichwa lako ni gumu kuelewa / kung'amua. Humu mitaani tunayaona mengi sana ambayo kama leo hii yote haya yangepelekwa huko Mahakamani basi Magereza ya Tanzania yangefurika ila tu Hekima ya Kidini hutumika na mambo humalizwa kwa Watu kusameheana, kupeana mikono na maisha yanaenda.
 
Niko upande wa Lulu.
Mahakama ya kichwa changu. Haijapata uthibitisho. Lulu anahusika vipi na kifo cha kanumba.
Angetumia zana yoyote. Mfano kisu, panga, nyundo n. K. Hapo ningesema sawa.
MAHAKAMA HAINA MAKOSA. hakuna wa kulaumiwa.
Ni sehemu ya maisha yetu.
OMBA YASIKUKUTE.
 
Mimi hili swala la huyu Mama nalichukulia tofauti na Wengi mlivyolichukulia,
Huyu Mama hata baada ya kifo Cha Mwanae kuna Movie fulani alicheza na huyu Binti, hivyo kiasi wana ukaribu fulani,
Hii hukumu ya Lulu kiasi fulani ina maoni kama matatu hivi tofauti.

1) Kuna ambao wanadhani kua kwa kosa alilolifanya huyu Binti, tukiweka Umaarufu wake pembeni basi alistahili Adhabu kali, labda hata zaidi ya Miaka 5 hivi na kuendelea. Wanadhani kwamba hata kesi kuangukia kwenye "Manslaughter" ni Upendeleo wa hali ya juu, lakini hapo angestahili Mvua kadhaa za nguvu. Kwamba pengine Umaarufu wake umem'beba akapata upendeleo lakini kosa alilolifanya ni kubwa. Miaka miwili aliyopewa ni michache sana.

2) Kundi au maoni ya pili ni wale ambao wanadhani huyu Binti hana kosa na hata Hukumu hii ni uonevu kwake, kwamba alikua mdogo kiumri na hata ushahidi kwamba aliua nao ni mgumu kuthibitisha maana hakuna aliewaona wakigombana nja hatujui nini kilitokea chumbani. Kundi hili linaamini hata hiyo miaka miwili ni mingi sana, Bint alitakiwa aachiwe tu huru aendelee zake na maisha yake.

3) kundi la mwisho linaamini kua Hukumu aliyoipata ni sawia kabisa na kilichotokea. Kundi hili (akiwemo jaji mtoa hukumu) linaamini kua miaka miwili kwa kilichotokea ni sawia kabisa, hajapendelewa mtu wala kuonewa.

Sasa basi mi nadhani hapa huyu Mama alidhani Lulu angeangukia kundi la kwanza, kwamba angefungwa miaka mingi kama wanavyofungwa wengine. Pengine Miaka miwili aliyohukumiwa ni ahuaeni kwa huyu Binti na ndio maana Mama Kanumba hata akafurahi kua Binti hatopata tabu sana kama ilivyokua ikidhaniwa awali. Pengine amefurahia Binti kuepuka adhabu kali, kwamba furaha yake ni kunyesha kua yuko pamoja na Binti na angalau kesi imeisha "salama" kwake kuliko angeangushiwa Mvua kuanzia 5 labda.

Nimewaza tu
 
Sasa hapa critical thinkers wa kazi gani wakati hata mm darasa la pili b naweza kujibu maswali yako yote

Niliposema Critical Thinking itumike hapa sikutaka huu ' upumbavu ' kama wako unaokusumbua badala yake nilitaka sasa Watu twende mbali zaidi na tufikirie kwa Kina kabisa na hasa nje ya box ili kuleta tafakuri pana yenye nadharia kubwa iliyojaa mantiki ambayo itaweza kusaidia hata kwa siku za baadae Watu kuwa makini na kutorudia Kosa. Kila siku huwa nawaambia ukiona GENTAMYCINE nimeanzisha uzi usiukurupukie Kwanza au ukadhani nimeandika tu ili mradi bali maandiko yangu mengi huwa yanamtaka Mtu aushirikishe vizuri Ubongo wake lakini kama Ubongo umejaa ' Kamasi ' na ' Kohozi ' kama ulionao huwezi kung'amua / kuelewa lolote.
 
Niko upande wa Lulu.
Mahakama ya kichwa changu. Haijapata uthibitisho. Lulu anahusika vipi na kifo cha kanumba.
Angetumia zana yoyote. Mfano kisu, panga, nyundo n. K. Hapo ningesema sawa.
MAHAKAMA HAINA MAKOSA. hakuna wa kulaumiwa.
Ni sehemu ya maisha yetu.
OMBA YASIKUKUTE.
Mbaya zaidi aliyemharibu huyu mtoto ni Kanumba, ona at this age huyu mbakaji alishakaanzia kukapiga brush.

Sijuwagi kama majaji wetu huwa wanajipa muda mzuri wa kufuatilia fact za back ground.

Kanumba+na+Lulu.jpeg
kanumba_akiri_mu_buzima_hamwe_na_lulu.jpg
 
Nimesema Ukristo hapo kwakuwa ndani ya Ukristo kuna kitu Kusamehe labda Wewe siyo Mkristo hivyo bichwa lako ni gumu kuelewa / kung'amua. Humu mitaani tunayaona mengi sana ambayo kama leo hii yote haya yangepelekwa huko Mahakamani basi Magereza ya Tanzania yangefurika ila tu Hekima ya Kidini hutumika na mambo humalizwa kwa Watu kusameheana, kupeana mikono na maisha yanaenda.
Sasa wewe mwenye bichwa zuri la kuelewa umeshindwa nini kujibu nilichokuuliza? Unambwela mbwela nini sasa, jibu swali mtu akimuibia mkristu na huyo mkristu akasamehe ni basi kesi inaisha?
 
Sasa wewe mwenye bichwa zuri la kuelewa umeshindwa nini kujibu nilichokuuliza? Unambwela mbwela nini sasa, jibu swali mtu akimuibia mkristu na huyo mkristu akasamehe ni basi kesi inaisha?
Wewe unapwaya sana kwenye hili jukwaa siyo size yako.

Zipo kesi nyingi tu zinaondolewa mahakamani na zinaenda kumalizwa nje ya mahakama.

Na hata zile kesi ambazo Jamhuri ndio mshtaki DPP ana mamlaka ya kuzifuta kama Manji alivyofutiwa kesi ya uhujumu uchumi na DPP.

Wacha kuropoka kwa vitu usivyovijuwa, siyo lazima ugande jukwaa hili unaweza kwenda hata jukwaa la mapishi ukajifunze kupika.
 
Wewe unapwaya sana kwenye hili jukwaa siyo size yako.

Zipo kesi nyingi tu zinaondolewa mahakamani na zinaenda kumalizwa nje ya mahakama.

Na hata zile kesi ambazo Jamhuri ndio mshtaki DPP ana mamlaka ya kuzifuta kama Manji alivyofutiwa kesi ya uhujumu uchumi na DPP.

Wacha kuropoka kwa vitu usivyovijuwa, siyo lazima ugande jukwaa hili unaweza kwenda hata jukwaa la mapishi ukajifunze kupika.
Heri yako wewe usiyepwaya kaka, ubarikiwe sana
 
Lulu na mama ake lulu hawakuwa na adabu hata kidigo kwa mama lkanumba. behind the scene walikuwa wakimdharau na kumtukana sn mama k...

Kwahiyo Lulu akitoka huko Gerezani Kanumba ndiyo atafufuka? Wenye Imani iliyoshiba wanasema siku zote Hekima silaha Kali mbele ya Chuki na Visasi.
 
Sawa ni kweli kwamba Mwanao alifariki akiwa na huyo Binti katika Starehe zao na hata hivyo Marehemu Mwanao nae kama kungekuwa kuna uwezekano na Sheria za Kuhukumu Maiti basi yawezekana hata Yeye pia huko huko aliko mavumbini basi angehukumiwa Kifungo cha miaka 30 kwa kufanya Mapenzi na Binti aliye chini ya Umri wa miaka 18.

Mpaka sasa nawaza na akili yangu imegoma kabisa kuelewa baadhi ya matukio yanayohitaji mno tafakuri tunduizi ( critical thinking ) ya kilichotokea jana katika Nyumba moja ya Sheria na Utoaji wa hukumu nchini Tanzania maeneo ya Posta.

Hivi Mama wa Marehemu amepata faida gani labda kwa kufurahia Binti mdogo kwenda Lupango kwa miezi 24? Hivi Mama wa Marehemu kitendo cha kutoka pale Nyumba ya Sheria na Hukumu Posta huku akifurahi na moja kwa moja kwenda alipolala Mwanae Kinondoni kumsalimia kilikuwa kina maanisha nini?

Kama ni mashindano je Mama wa Marehemu alikuwa anashindana nini na Binti aliyehukumiwa miezi 24 Gerezani? Zile furaha pale Posta zilizokuwa zikisindikizwa na machozi zilitokana na nini hasa? Je baada ya ule ushindi wa Kisheria na Kihukumu wa jana Marehemu ameshafufuka na sasa amerudi Kwake Sinza?

Hivi hapakuwa na room ya mazungumzo yoyote ya Kidiplomasia baina ya pande mbili Kinzani / Hasimu zaidi ya Kukomoana na kuonyeshana nani ni Bingwa / Mshindi? Kwahiyo kumbe siku hizi Wakristo nchini Tanzania tunarudishiana ubaya kwa ubaya ( wenyewe mnasema kama noma na iwe noma ) kwa wale Maadui zetu.

Naomba kuuliza hivi laiti kama zile Mali za aliyelala sasa pale Mtaa wa Mkulima Kinondoni zingekuwepo hadi hivi leo na zinazalisha Mama Marehemu angepoteza muda na Kesi hiyo? Je hapa tukiamini kama labda ukazaji wa Vyuma ndiyo umejenga hasira kwa Mama hadi akaamua Kumkomo Binti wa Watu tutakuwa tumekosea?

Nimalizie tu kwa kusema kwamba huko nyuma nilikuwa nasikia tu kwamba Watanzania japo masikioni mwa wengi wanasifika kwa kuwa Wakarimu ila nilichokigundua na leo mtanisamehe sana ni kwamba hakuna Watu wenye roho mbaya, makatili and pure sadists kama Watanzania kubali kataeni.

Kama Mkristo wa kweli binafsi sikuona haja yoyote ya Mama Marehemu kulishikilia hili jambo bango hivi na badala yake ningesamehe tu na kumuachia kila kitu Mwenyezi Mungu na kuendelea na maisha yangu bila Marehemu nikijua / kuamini kwamba kila jambo hupangwa na Mwenyezi Mungu.

Huyu Mama anaweza kudhani kuwa amefanikiwa 100% ila kwa jicho kali la Kisaikolojia nasema wazi kabisa kwamba Mama Marehemu huenda sasa akawa katika data base yake ndiyo ameharakisha kuongeza idadi kubwa ya Maadui kuliko Marafiki na hali ambayo huenda pia ikampelekea akawa na maisha magumu na ya shida pengine hata kuliko ambapo huyo Binti aliyefungwa angekuwepo uraiani.

Wadau huu ni mtazamo wangu tu na kama na Wewe una wako nakukaribisha sana nawe pia uweze Kutiririka na Kuserereka hapa na jisikie huru kunipinga kwa Hoja kwani hapa Great Thinkers hapa tuunganishe bongo zetu na tulifikirie hili nje ya box kabisa ili tuwekane sawa. Naomba leo katika uzi huu kusiwepo na matusi ya aina yoyote yale ila madongo ya hapa na pale Kwangu nayaruhusu ila siyo matusi. Nimetahadharisha mapema tu ili huko mbele ya safari tusije kulaumiana.

Nawapendeni nyote na karibuni pia.

Nawasilisha.
Mkuu awali ya yote nakusalimu na kwa kuwa umehitaji kuliangalia tukio kwa Jicho Pana ebu tusaidiane Jambo kwa Pamoja..
Kwenye Paragraph yako ya kwanza umeeleza kuwa kama sheria zinagekuwa zinaruhusu kumshitaki na kumtia hatia maiti basi marehemu angepigwa mvua ya miaka 30 kwa kufanya ngono na mtogo ambaye alikuwa chini ya miaka 18.. Ok Kulingana na Sheria ya kubaka Je ili mtu awe na akutwe na hatia ya kumuingilia Mwenzie bila ridhaa yake mlalamikaji anatakiwa awe nani? Jamhuri , mtendewa au? Kama nilisikia vizuri toka tukio zima linaanza na utetezi wa kadada ketu kazuri nikuwa kwa kipindi kile tukio linatokea kalikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa takribni miezi minne?? Je kabla ya kuwa na mahusiano na Marehemu haka kadada kalikuwa na Mahusiano na Wanaume wangapi? Je ni Mtanzania gani aliyewahi kumkemea na kumzuia huyu mtoto na mahusiano katika umri mdogo kisi kile? Wote ni mashahidi ni mara ngapi huyu bidada alikuwa akihudhuria kumbi za starehe na kuvaa nusu uchi mbele za watu wasomi na wabobezi wa Sheria za ustawi wa jamii lakini hakuna aliyekemea Jambo hilo hadi leo..?

Pia labda ufafanuzi hii kesi nani aliyeifukunyua au ilikuwa kesi kati ya Mtuhumiwa / Mfungwa na Mama wa marehemu au ilikuwa Kati ya Mtuhumiwa na Jamhuri? Nani alikuwa mtetezi kwa upande wa Jamhuri? ni Mama wa marehemu au wakili wa serikali? kuna mahala ambapo Mama wa marehemu kwa namna moja ama nyingine ameonekana akitoa maelezo ya kilichomtokea Marehemu..

I think we should stop kuongeza chumvi na kukuza lawama ambazo hata hazina miguu zaidi ya kujenga chuki baina ya watu hao....
 
Great Thinker hapa hawahitajiki................ na nitakujibu 1 -4 au 5

1. Mama Kanumba hakumshitaki Lulu
2. Lulu alikuwa ameshitakiwa na Jamhuri
3. Nadhani wewe bado huna mtoto au bado kijana mdogo sanaa.....
4. Lulu alishashindikana na alikubuhu kwa mambo ya kikubwa... kabla ya kifo cha Kanumba alifanya party ya kuwa 18
5. Lulu na mama yake hawakupaswa hata kwa dawa kumdharau yule mama.... bado yeye kusema anakwenda kumzika rasmi mwanae kuna baya gani?


wakati Lulu na mama yake wanakuja na discover huku akimpiga kikumbo mama wa marehemuu as if ni mke mwenzake wewe uliona sawa tuu acheni kwanza hata hiyo miaka miwili nayo ni bado ni michache sana tena mno.

CV niliwahi kutumikia kifungo kwa kosa la mauji bila kukusudia hiyo ni adhabu tosha kwa life time yake........ Mungu ampe ujasiri amalize salama...........

Kwahiyo kama hujajibu kama Great Thinker umejibu kama nani kati ya Popoma au Ngumbaru? Nasubiri kwa hamu sana jibu langu.
 
1/3 ya two years ni mwaka mmoja na miezi minne ndio muda anaopaswa kutumikia Lulu gerezani kwa sheria za Magereza.

' Kamarada ' Matola hii ' Kitu ' nasikia kwa sasa haipo tena na imeshafutwa hivyo ukipigwa ' mvua ' ya miaka miwili ni miaka mwili hiyo hiyo. Tafuta Watu wa Magereza watusaidie katika hili ila nami nilidokezwa na Mdau mmoja hivi wa masuala haya haya ya Kisheria sasa sijui aliniambia kweli au alinilisha tu tango pori lililotukuka.
 
Kwahiyo kama hujajibu kama Great Thinker umejibu kama nani kati ya Popoma au Ngumbaru? Nasubiri kwa hamu sana jibu langu.


Nimejibu kwa akili uliyotumia wewe kuita greater thinker sasa hapo wewe ndio utaweka kama ni popoma au Ngumbaru........... maana hata wewe maelezo yako sio ya great ni ya kundi hilo hilo la ngumbaru na popoma ova
 
Mbaya zaidi aliyemharibu huyu mtoto ni Kanumba, ona at this age huyu mbakaji alishakaanzia kukapiga brush.

Sijuwagi kama majaji wetu huwa wanajipa muda mzuri wa kufuatilia fact za back ground.

View attachment 630731View attachment 630733

Halafu Marehemu anaonekana alikuwa na ' Paipu ' hasa na kuna uwezekano pia kina cha ' Mbunye ' ya Lulu alikiongeza Yeye kama kwa kuichimba kwenda ' deep ' kama ambavyo sasa Mamlaka ya Bandari Tanzania na yenyewe pia inaongeza ' Kina ' cha Bandari ya Dar es Salaam. Angalia vizuri na taratibu sana hiyo picha ya juu kisha weka macho yako yote hapo katika center of gravity ya Kanumba ( Mkuyengeni ) halafu hilo ' Furushi ' lilivyojikusanya utadhani Wingu la Mvua ya Mafuruko Dar es Salaam. Marehemu alijaaliwa ' Kitu ' Mkuu.
 
Sasa wewe mwenye bichwa zuri la kuelewa umeshindwa nini kujibu nilichokuuliza? Unambwela mbwela nini sasa, jibu swali mtu akimuibia mkristu na huyo mkristu akasamehe ni basi kesi inaisha?

Ndiyo maana pamoja na kuwa na Kichwa Kikubwa kama Spika za Bendi ya Msondo Ngoma lakini bado umekuwa mzito kunielewa.
 
Back
Top Bottom