ypointer4
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 633
- 523
Kuuwa ni kuuwa tu haijalishi umeuwaje!!! tabia mbaya ni tabia mbaya tu haijalishi unaifanya kwa mtindo upi!!! udogo wa miaka sio gigezo hata siku moja 18 is just a number!!! mtoto mdogo usiku wa manane unakwenda kwa watu kutafuta nini!!! Asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengo!!! usitetee ujinga hata kama aliyeufanya ni mtu wako wa karibu kiasi gani!!! ujinga ni ujinga tu..