Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi iendelee. Polen na majukumu katika kuhakikisha familia na Taifa letu linaendea kusonga mbele.
Wataalam naomba ushauri, mdogo wangu amemaliza Diploma ya Information Technology, katika maongezi naye jana akaniambia anatamani sana kusoma degree ya Forensic Science.
Swali likaja kichwani mwangu je, kwa Tanzania kuna Chuo chochote kinachotoa Degree ya Forensic Science?
Wataalam naomba ushauri, mdogo wangu amemaliza Diploma ya Information Technology, katika maongezi naye jana akaniambia anatamani sana kusoma degree ya Forensic Science.
Swali likaja kichwani mwangu je, kwa Tanzania kuna Chuo chochote kinachotoa Degree ya Forensic Science?