Nahitaji chumba Moshi mjini

Nahitaji chumba Moshi mjini

Aspirin

New Member
Joined
Mar 17, 2025
Posts
1
Reaction score
2
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosomeka,nahitaji chumba single self.

Bajeti yangu ni 50k hadi 120k.

Ikipatikana haya maeneo itakuwa vizuri zaidi:

Town/mjini, rau, kcmc hadi kule ushirika wa neema....

Au kama kuna mtu mwenye kufahamu kama kuna nyumba za shirika la nyumba la taifa, NHC moshi na utaratibu wa upatikanaji wa vyumba vyao nitashukuru
 
Back
Top Bottom