Nahisi nimerogwa, naombeni msaada

Nahisi nimerogwa, naombeni msaada

Futa hii kauli. Unaempenda ni hilo gube gube linalokulaza macho na kukushindisha bila kula kisa wivu.

Ungempenda mkeo kwanza usingekuwa na mchepuko na hata kama ingetokea ukawa nae usingekubali kuwekeza asilimia 200 ya hisia zako kwa mchepuko kenge wewe
Mi nashindwa kuelewa hii kauli,eti napenda mke wangu,huku unachepuka,ukiwa unampenda mtu huwezi chepuka bana acheni utani
 
Wewe ndo mchawi,inakuwaje unataka wanawake wote wawe wako wakati mwingine hukai nae kila siku
 
Yaani kama alivyoingiaga moyoni, upendo na kumjua vilikuwa vinaongezeka siku baada ya siku.

Kumtoa pia sio kama switch kusema unazima tuu kupaooi halafu imeisha, hapana,kuna huo muda lazima utapitia wa mawazo, kuumia, kughadhabika etc ndio huo ulipo sasa…

Wiki moja tuu ni ndogo isitoshe mmeachana kwa hasira za kupigiwa yaani bado unampenda,kama ingekuwa ulikuwa umemchoka, ungemsahau mapema.


Ushauri:
Wewe umeoa sioni tija ya kung’ang’ana nae kuna risky ya kuvunja na ndoa yako pia.

Usidhani kama anaweza kuwa wazi kuwa yuko ready the whole life awe option B kwako, huwezi hata kumuoa mke wa pili kama usemavyo,unamla unamhudumia lakini pia antenna zake ana search, akikutana na wa kumuoa lazima akupige chini, kifupi kashapata akili.

Angalia tija ya kung’ang’ana nae na kumucha ipi bora then take it kama mungu kakuepusha na kikombe fulani,vumilia,wiki moja bado ni ndogo, ukimtafuta tafuta itakuwa unazidi kurefusha huo muda wa kuumia.
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Nilidhan unawaza umelogwa hupati mtoto kumbe Ni ujinga ujinga tu
 
Wachepukaji hatunaga wivu, focus na mkeo mkuu, ukiendelea kumuwaza na kumfatilia maisha yake utajikuta humjali mkeo.
 
Tatizo n ww mke wa ndoa hana mimba zaidi ya miaka 6.Na mchepuko nae hana mimba zaidi ya miaka 4.Unategemea kulogwa kweli?jipambanie kwanza ww kiongozi
 
Tatizo n ww mke wa ndoa hana mimba zaidi ya miaka 6.Na mchepuko nae hana mimba zaidi ya miaka 4.Unategemea kulogwa kweli?jipambanie kwanza ww kiongozi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Hajakuloga boss ila ni hali inatokea pale unapokuwa na mtu kwa muda mrefu ukamzoea na kutengeneza bond nzuri pamoja na yote sababu mlikuwa Mnachati na kuongea sana pamoja iyoo kihisia ilikuweka karibu naye sana kwa wakati uwoo mm nilikiwa na mmoja toka 2017 ninaye mke tayri ila nilikuwa nampendaa sana had I mwaka Jana akaanza kuwa na mwingine ilikuwa inaniuma sana hasira chuki hadi home ila now nimemsahau tunawasiliana Mara moja moja na maisha yanaendelea namla Mara moja moja nikijisikia
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Kinachokuuma ni huduma ulizotoa hasa hasa vitu ulivyomnunulia ambavyo anaendelea kuvitumia kwa uhuru. Ndiyo maana wengine (wenye roho ndogo) hunyang'anya kila kinachowezekana anapoamua kuachana na mwanamke ili kusiwe na chochote atakachofkiria kwamba alimfanyia mwanamke huyo na bado anaendelea kukitumia na mwanaume mwingine.
 
Wala si utani umerogwa na ukafungika na mkeo.

Hapo anatafuta uzae nae ili ndoa na mkeo muachane yeye ndio umfanye mkeo.
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Tatizo Huna akili
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Mkuu una story kama yangu aisee mm nasomesha chuo kabisa ila dem ndo haeleweki. Naandika sms tumetoka kugimbana sasa hivi. Nimempigia sim yupo kwenye usafiri wauma saa tatu hii namuuliza anaenda wapi ananijibu kwa shoga yake hata simwelewi
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Umejiroga mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom