Nahisi nimerogwa, naombeni msaada

Nahisi nimerogwa, naombeni msaada

Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Yaani wewe maisha yako yote hukuwahi kusikia habari za wazaramo na mafiga matatu?

Hujarogwa ila umejichanganya mwenyewe. Kwa mzaramo hatuweki kambi.
 
Una mke na familia, na huwezi kuoa mke wa 2, sasa wivu kwa mchepuko unatoka wapiii? Yeye anatafuta mume wakee.

Kuhusu kurogwaa hilo halituhusuu, pambanaa baba kivyakoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Mtu aliyerogwa hawezi hata kuhisi hicho unachohisi.
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.

Pathetic sana.. unalalamikia mchepuko wkt ww mwenyewe huwezi kumuoa? Unampotezea mtu muda, achanujingabstick na mkeo
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Huo mchepuko pia hujazaa nao?
 
Mke wangu nampenda sana
Ungekuwa unampenda sana usingetoka nje ya ndoa, hapo kuna walakini.

Huyo binti hajakuroga wala nini, wewe kama binadamu ambae umeanzisha uhusiano na mtu na kuishi nae kwa muda wa miaka 4 unadhania unaweza tu kusema leo basi ndiyo yakaisha? Never! Lazima kuna hisia zimejengeka kwenye mioyo yenu wote wawili na lazima itachukua muda kujiondoa.

Ukikaza moyo baadae unaweza kusahau pole pole.
 
Unaposikia mapenzi yanauma mpaka watu kujiua huwa unawaonaje
Mapenzi ni hatari siyo hatari ya maneno ni hatari kwelikweli
Hujalogwa mr hiyo ni starter ndogo tu
 
Rejea ya kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 34. Nipo kwenye ndoa kwa takribani miaka 6 sasa.

Mke wangu na mimi kwa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto. Najua mtoto ni mipango ya Mungu so bado tunapambana. Sasa changamoto iliokuepo hapa ni swala la mchepuko. Nina mchepuko wangu huyu wa miaka kama 4 hivi. Kila nikimuacha kwa namna mmoja au nyingine namrudia.

Sasa majuzi tumegombana baada ya kugundua kaanzisha mahusiano na mtu na kuanza kutoka nae kisirisiri. Makubaliano yetu kwa vile mimi mkristo siwezi oa mke wa pili ila yeye nitamtunza kwa kadri niwezavyo. Sasa kimeniuma sana kuja kupata taarifa kuna mhuni anaseleleka tu. So nikaamua kumuacha kabisa nakusema nampotezea.

Changamoto aisee imekuwa kubwa sana kumsahau huyu dada, kila nikikaa nawaza usikute wananyanduana na jamaa kwenye kitanda nilichonunua mimi napata hasira za ajabu. Ni week sasa siwasiliani nae ila moyo unakuwa unauma sana. Ndio maana nahisi ameniroga sio bure.

Maana kwao ni wale wazaramo. Nisaidieni najitoaje kwenye hii hali maana inapunguza ufanisi wangu wa kazi na mke wangu anauliza mbona ninakuwa na mawazo mazito sana.
Hakuna uchawi hapo na kwa upande wake hakuna mapenzi tena kwako ... Focus na ndoa yako sasa.. Itakuchukua muda kusahau lakini lazima uamue kiume

Kama kuna kosa utafanya na kujuta maisha yako yote ni kumuomba mrudiane! Jifunze kwa Harmonize
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom