CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,999
Pole sana rafiki Mungu awe ndiye kimbilio lako uisiangalie nyuma tena kwani Mungu amekuandalia wako ambaye mtaendana, mtapendana na mtachukuliana kwa kila hali haijalishi umepita katika vikwazo hivyo ila mtegemee Mungu kwani yeye hujishughulisha sana na mambo yetu
Ondoa mawazo ya kumfikiria alivyokutenda kwani wengi wetu hapa tumetendwa hivyo hivyo wewe simama imara na mwombe Mungu atakutokea na utapata aliye wako mpaka utasahau machungu yote hayo soma jeremiah 27:32 (32:27) nimesahau kidogo hivyo vifungu ila ni hivyo hivyo bestito. uwe na siku njema
Tulia fanya kazi ongeza kipato..ndoa si suluhisho la maisha yako. Dili ni kuzisaka pesa utaingia kwenye ndoa ukose furaha ya maisha.
Cousin... Ngoja nikusaidie, nahisi ulimaanisha hiki kifungu.
Yeremia 32:27
Tazama, mimi ni BWANA, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza?
Ahsanteni wote kwakunitia moyo,Nimefarijika Sana na nimepata amani tele moyoni.Zawadia Umeongea kwa uchungu mkubwa mpaka nimehisi nasikia sauti yako mathematically. Am glad umeshea na sisi kiasi umepunguza uzito. Mushukuru saana Mungu kwa Dhoroba aliyokuepushia tena Funga kabisa muombe msamaha ulitaka kuasi dini yako kwaajili ya huyo Dawa chungu asokuwa na Haya Bandidu asiye na sifa za kiume.
Umebarikiwa sana kuachwa naye plz Forget and start a new life!!!