Nahisi nilimegewa

Nahisi nilimegewa

Mi naona ulipenda wewe mwenyewe kumegewa utampaje ruhusa ya kwenda. Nahisi huyo demu alikuwa nakuhudumia so sauti huna.
 
Sema tu haina mileage hiyo ungepima mwenyewe. Ila kiufupi alimegwa.
 
Aisee ulimegewa, kereuuuuuuwi ulimegewa bwashe, wiki mbili! Bora ingekuwa siku mbili, ungezuga kuwa alikuwa kwenye siku zake. Wiki mbili! Hata kama alikuwa kwenye siku zake kamaliza. Dah vitu vibaya kabisa ni 1.kuibiwa hela na 2.kumegewa. Kulikuwa hakuna sababu ya yeye kwenda huko. Watu walishamegana mpaka mimba, eti wakutane wajifanye wamesahau, hakuna kitu kama hicho
 
Tafuta DEMU wa kupozea tu ! hii itakupunguzia mawazo mawazo ingawa ukweli unabaki palepale "" Huko TORONTO aligegedwa !
 
p...... hainaga makombo mkuu, so usiwaze. no puns intended
 
umeipenda mwenyewe,umeitaka mwenyewe,utaisoma namba weeee,
hebu tujuze toka mwaka 2010 mtoto ana miaka 7 sasa baba hajarudi na kurudiana na mama.sababu hayuko nawe.
 
Nakushauri uachane kabisa na hayo mawazo. Yatazidi kukupa mawazo mabaya. Kuna wanawake imara kaka, huwezi kummega hata kama mtalala room moja. Mkeo anaweza kuwa ktk aina hiyo. Fikiria positive juu ya mwenzio.
 
dah bora umemuacha mkuu maana kwa vyovyote vile alimegwa tu
 
Wanaume wanaoliwa halafu wanahadithia hao kwetu huitwa mabaradhuli. Hizo ndiyo raha zao, Hujifanya hawataki kumbe wanapenda wake/wanawake zao wakamegwe halafu wanajidai kuwatia mkwara ili wahadithiwe kilichojiri, ndiyo raha zao.

Wanawake wasiofundws wakafundika hayo hawayajui. Laiti huyo mwanamke wako angekuwa kafundwa akafundika angeelewa weakness yako na ungekuwa mtumwa wake daima. Nyie ndiyo hufikia mpaka kuingiza wanaume wenzenu ndani ili muone wenza wenu wanavyoshughulikiwa.

Kwa uzi wako huu na unavyochangia, ni wazi kabisa wewe ni katika wale wanaume ambao kwetu huitwa mabaradhuli au bwege.

Huko ulipo huitwa cuckold.

Kwa raha zako. Hata ujikaze vipi hivyo ndivyo ulivyo.
 
uliyataka mwenyw! unawezaje kumpeleka demu wako kwa hiyo njemba? kwani nn usingemuambia aje amchukue mwenyewe huyo mtoto? inavoonekana ww huyo mwanamke anakupelekesha na kukuongoza badala ya kuwa ww kiongozi wa familia....... halafu mukiitwa wanaume suruali mukasirike
 
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na msichana mmoja mrembo sana. Hakuwa mrembo tu bali pia alikuwa na akili zilizoendana na urembo wake. Nilimpenda sana kwani niliona hatimaye nimempata anayeendana na mimi.

Wakati tunakutana nilimkuta akiwa tayari ana mtoto mmoja. Mtoto huyo alikuwa na umri wa miezi tisa. Baba wa mtoto huyo aliachana na huyo msichana wakati akiwa bado mjamzito wa miezi mitano na hata alipozaliwa jamaa hakuwepo na hakuja kumwona mwanae hadi alipofikisha umri wa miaka miwili.

Ndani ya miaka miwili ya uhusiano wetu jamaa akaanza kumshinikiza demu wangu ampeleke mtoto Toronto ili akamwone baba yake. Demu wangu akawa kwenye mazingira magumu kwa sababu tokea amzae huyo mwanae, baba yake alikuwa hajamwona na alikuwa anataka sana mwanae amjue baba yake. Wakati huo huo uhusiano wetu ulikuwa umekolea na mimi fikara za kumvalisha pete zikawa zimeanza kutawala kichwani mwangu.

Kwa takribani mwezi mzima akawa anafikiria ni jinsi gani ataweza kwenda kumpeleka mtoto Toronto bila kuharibu uhusiano wetu. Kumpandisha mtoto ndege na kuwakabidhi watu wa ndege halikuwa wazo zuri kwa sababu mtoto alikuwa bado mdogo sana. Mwishoni kukawa hakuna jinsi zaidi ya yeye mama mtu kumpeleka mtoto kwenda kumwona baba yake.

Siku ya siku ikafika. Mama na mtoto wakapanda ndege kwenda Toronto kumwona baba wa mtoto. Nikaachwa nyuma peke yangu. Toronto walifikia kwa huyo jamaa. Na jamaa alikuwa akiishi kwenye condo ya vyumba viwili. Ufikiaji wao hapo haukunipendeza licha ya demu wangu kuniahidi kuwa atakuwa analala sebuleni huku jamaa akilala chumbani kwake na chumba kile kingine cha pili atalala mtoto.

Walikaa huko kwa wiki mbili. Kila siku akiwa huko alijitahidi kunipigia simu angalau mara moja kuongea na mimi. Ilikuwa wakati mgumu sana kwangu mimi kwani sikumwamini hata kiduchu eti kuwa atakuwa analala sebuleni. Nikamwambia amwambie hivyo mtoto wa chekechea na si mimi kwani ingawa nilizaliwa usiku, sikuzaliwa jana usiku!!

Baada ya kurudi nilimwuliza kama alimegwa na yeye alikataa katakata. Mimi kwa upande wangu sikumwamini hata kidogo na nikamwacha.

Wadau, hivi kweli mnadhani alikuwa ananiambia kweli? Mtu kafikia kwa jamaa halafu kakaa wiki mbili, hivi kweli hawakumegana? Komredi Fidel hebu nipe mawaidha yako...unalionaje hili? Nilimegewa? Mimi nadhani nilimegewa ingawa sina ushahidi wa bunduki inayofuka moshi.
Kwanza kwa maelezo haya hakuna uhakika kama alimegwa au laa,ila jambo la muhimu kwako ni kujenga uaminifu na huyo mtu wako kwani kumegwa wanawake wanamegwa sana,jaribu kufikiri haya,hivi wewe unapogegeda wanawake wa wenzio,hao huwa wsna roho ipi na mkeo yeye anayo roho ipi mpaka asigegedwe?
 
Back
Top Bottom