Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
mimi hata sijaelewa aisee
njoo hapa escape nikueleweshe!
mimi hata sijaelewa aisee
unamshauri afumbe macho wakati anaibiwa!!??
mkuu, hiyo id yako unamuelewa lakin huyo jamaa alikua nani? #TheSicilianmwana fa keshakuambia ukitaka wako mwenyewe kata mgomba uweke ndani
piga makofi akiendelea piga chini kiroho safi wala usijenge chuki.
acha kuingia fb. na tumia muda wako mwingi kushinda jf. nadhan itasaidia kutoona hata wakitag-ana.