Nahisi naibiwa ,naombeni ushauri

Nahisi naibiwa ,naombeni ushauri

Mkuu piga chini tafuta mwingine huyo amesha kushinda.hata ufanyeje utachapiwa tu na mjini hapa unakuta
Mwanamke hana mabwana watatu mpka 4
 
Mwambie ambrock jamaa afu badisha namba zake za simu kwisha kazi
 
Achana naye .. Usikubali mapenzi yakuumize japo ni vigumu ila huyo mwanamke hakuheshim .. Jikaze kiume mbwage . Tunza heshima yako kaka .. Ukivumilia badae yatakukuta makubwa zaidi ya haya.[nimekusoma kaka]
 
Hbr wakuu?

Siku moja nilichukua simu ya mpenzi wangu nikakuta mesegi alizokua anachat na jamaa, alikua akimwita mpenzi na majina mengne yalonipa mashaka.

Niliongea na mpenzi wangu akakataa na kusema jamaa ni rafiki ake tu eti wamezoea kuchat vile, pia marafik zake walimtetea sana.

Sikuridhishwa na majibu yale ikabidi nimwambie amwite jamaa, alivyokuja akaeleza kuwa ni marafiki tu na akaomba msamaha kuwa hatorudia, nilimwambia amkome mpnz wng.

Kinachoniumiza zaid hivi karbuni ameanza kumtag mpenzi wangu kila picha anayoeka fb, nimeumia zaidi alipoeka picha ya maandishi iliyoandikwa LINI UTAKUWA WANGU na kumtag mpenzi wangu na dada mwingne.

Napoongea na mpenzi wangu anaomba sana msamaha na kusema atamzuia jamaa hiyo tabia.

Mi sielewi la kufanya ndugu zangu na huyu nampenda sana, naombeni ushauri.

Ahsanteni.

ninavyojua mimi fb wanao-upload photos kila mara ni watoto,samahani kama nimekuvunjia heshima mkuu
 
Back
Top Bottom