Meridah Tough
Senior Member
- Nov 27, 2017
- 136
- 363
Habari za jioni?
Mpaka nafika hapa wadau mjue nimekwama. Naombeni ushauri juu ya haya mahusiano. Kiukweli nilikuwa nashangaa nikisikia kuwa mpaka watu wanafikia kufunga ndoa, wamepitia mambo mengi sana ya kukatisha tamaa na mengine ya furahaa.
Kwa ishu yangu mimi iko hivi, nina jamaa ambaye ni mpenzi wangu kwa sasa. Tulidate naye tangu miaka kadhaa iliyopita, akanitenda tukaachana.
Sasa baada ya mwezi akaniomba msamaha kuwa amebadilika. Kwa kweli nilikuwa nampenda hivyo nikamsamehe na maisha yakaendelea.
Baada ya kama wiki tatu tangu turudiane, nikaona mwenzangu ameanza kubadilika. Simu password kama zote, usiku wanapigiana simu na mwanamke ambaye waliachana lakini inavyoonekana wamerudiana.
Niliongea na mwenzangu akabisha kuwa hayo ni mawasiliano ya kawaida tu hakuna kitu. Majuzi alisahau simu yake, kwa kuwa ninamjua sikupata tabu kufahamu password yake. Kweli nimekuta chat zao humo wanaitana mke na mume and so forth.
Yan kiufupi jumbe nilizozikuta humo zinaonyesha kuwa mwanaume ndiye anampenda mwanamke kutokana na kuconfess penzi lake kwa huyo mwanamke kila mara.
Lakini at the same time, mimi hata nimwambie kiasi gani nampenda hawezi kujibu hiyo msg. Hivyo nilichukua maamuzi ya kumface na kumwambia kuwa ni heri achague huyo mwanafunzi wa chuo (21 yrs) ambaye wapo mikoa tofauti au anichague mie mzee mwenzake (28 yrs) mwanaume ana 31 yrs.
Bado hana msimamo.
Ninaombeni ushauri wadau maana kuna sauti inaniambia niondoke, nyingine inaniambia nivumilie.
Mpaka nafika hapa wadau mjue nimekwama. Naombeni ushauri juu ya haya mahusiano. Kiukweli nilikuwa nashangaa nikisikia kuwa mpaka watu wanafikia kufunga ndoa, wamepitia mambo mengi sana ya kukatisha tamaa na mengine ya furahaa.
Kwa ishu yangu mimi iko hivi, nina jamaa ambaye ni mpenzi wangu kwa sasa. Tulidate naye tangu miaka kadhaa iliyopita, akanitenda tukaachana.
Sasa baada ya mwezi akaniomba msamaha kuwa amebadilika. Kwa kweli nilikuwa nampenda hivyo nikamsamehe na maisha yakaendelea.
Baada ya kama wiki tatu tangu turudiane, nikaona mwenzangu ameanza kubadilika. Simu password kama zote, usiku wanapigiana simu na mwanamke ambaye waliachana lakini inavyoonekana wamerudiana.
Niliongea na mwenzangu akabisha kuwa hayo ni mawasiliano ya kawaida tu hakuna kitu. Majuzi alisahau simu yake, kwa kuwa ninamjua sikupata tabu kufahamu password yake. Kweli nimekuta chat zao humo wanaitana mke na mume and so forth.
Yan kiufupi jumbe nilizozikuta humo zinaonyesha kuwa mwanaume ndiye anampenda mwanamke kutokana na kuconfess penzi lake kwa huyo mwanamke kila mara.
Lakini at the same time, mimi hata nimwambie kiasi gani nampenda hawezi kujibu hiyo msg. Hivyo nilichukua maamuzi ya kumface na kumwambia kuwa ni heri achague huyo mwanafunzi wa chuo (21 yrs) ambaye wapo mikoa tofauti au anichague mie mzee mwenzake (28 yrs) mwanaume ana 31 yrs.
Bado hana msimamo.
Ninaombeni ushauri wadau maana kuna sauti inaniambia niondoke, nyingine inaniambia nivumilie.