mtake radhi bhana sio bibie huyo kama hujui jinsia ya mtu ita mkuu utaeleweka.tehe,ths tym sijataka ushauri nimeshafanya yangu na apa nimeleta mrejesho kama ambavyo niliahid,,ushauri nilihitaj mwanzo not ths tym bibie
tehe,ths tym sijataka ushauri nimeshafanya yangu na apa nimeleta mrejesho kama ambavyo niliahid,,ushauri nilihitaj mwanzo not ths tym bibie
Ntakusamehe ukigonga gari,kuvunja vyombo lkn sio kwenda kumpanulia mtu miguu...sina roho nzuri kiasi hicho.
Na ww unaamini hajagegedwa?
USIWEKE MTEGO WA KUMFUMANIA MKEO KAMA HUNA UWEZO WA KUMUACHA tchaoooooooooo kwa stori hiyo mimi wewe ndo nakuona unaonewa samahani lakini
Ntakusamehe ukigonga gari,kuvunja vyombo lkn sio kwenda kumpanulia mtu miguu...sina roho nzuri kiasi hicho.
ok let say kaliwa!,,ndo atakua wa kwanza?,,,by the way sijamkuta bikra!,,means alikua ameshaliwa,,,to me r'ship goes beyond kuliwa na kulwa,,,busara ni sehem muhimu sana kwenye mahusiano,,,m am proud nilipata busara za kufikia uamuzi wa kumsamehe,,,
usikute na ww unakomaa kaliwa coz hua unafanya hiv na unajua kabsa apo ni manyoya tehe tehe,,,
mi nampenda mpenz wang na kama n kumuacha t has to be somnthn realy serius,,
sawa
lakini,what if hakupanua miguu ila alikua akitengenezewa mazingira ya kupanua miguu?
siamini kama alifanya ama hakufanya hivo
ila ninachosema hapa..mtu akikosea na akahitaji second chance apatiwe..awekwe kwenye matazamio..watu hubadilika
siamini kama alifanya ama hakufanya hivo
ila ninachosema hapa..mtu akikosea na akahitaji second chance apatiwe..awekwe kwenye matazamio..watu hubadilika
Mm huwa sitaki hizo what if.....narudia sina roho nzuri katika suala la michepuko.
Ww ukikuta msg kwny simu ya boifrendi au hazibendi demu kamtumia anamwambia nmevaa chupi ya rangi ya udhurungi halaf yeye akakwambia hajawahi kufanya nae kitu...utaelewa?...huo ni mchepuko tayari hata kama jamaa hajakitumia kiboc manyonya cha huyo binti.sawa
lakini,what if hakupanua miguu ila alikua akitengenezewa mazingira ya kupanua miguu?
Ww ukikuta msg kwny simu ya boifrendi au hazibendi demu kamtumia anamwambia nmevaa chupi ya rangi ya udhurungi halaf yeye akakwambia hajawahi kufanya nae kitu...utaelewa?...huo ni mchepuko tayari hata kama jamaa hajakitumia kiboc manyonya cha huyo binti.
duh..hiyo itauma
lakini,kuna mtu anaweza uliza hilo swali hata kama hamjafika that far
Kusema kweli mm hiwa nafikia kwenye maswali hayo kama nataka mzigo otherwise hiwa siwezi kuuliza hizo mambo....tena siku hizi kuna whatsapp unarushiwa picha uone kbs.