Nahisi naibiwa hapa sina amani kabisa

Nahisi naibiwa hapa sina amani kabisa

Wasubiri wakuambie kama huibiwi au unaibiwa
 
mmh hapo kuna uwalakini...ila ongea nae mweleze ukweli unavyojickia...kama anakupenda kweli atajirekebisha...
 
Habari za
mchana wana MMU imani ni wazima wa afya.

Leo mwenzenu nina majanga yaani majanga.

Nina mpenzi wangu ambaye nimemwelezea sana humu JF ila la leo ni
tofauti.

Kwa sasa amesafiri kwenda kwao Arusha sasa kule amekutana na mdogo
ambaye anadai wanapendana kiasi kwamba wanachangia hadi vitu.

Nilikubaliana na yote ila hapa kwenye simu naona linanishinda muda
mwingi nikimpigia simu yake inatumika hadi usiku na nitakapompata anadai
alikuwa anatumia mdogo wake coz yeye hana simu.

Japo sio kawaida yake ila mwenzenu kiroho paaaa..

Hebu nisaidieni hapa siibiwi kweli.

cc miss chaga ,
watu8
,Matola,Heave n on the
earth
, Tabibumtaratibu na
wengineo

ulitaka akwambie ukweli? mpeleleze zaidi? poleee
 
hizi simu za kushare zaman sana zile enzi za kuomba kubip daaaa
 
Na bandu bandu humaliza gogo......
Mgaaga na upwa.....hali wali mkavu.......
Ganda la mua la jana....chungu kaona kivuno
Ukiona zinduna......ambali iko nyuma

simba mwenda pole....................
Ndege mjanja....................
ukiona manyoya ujue....................
 
mmh hapo kuna uwalakini...ila ongea nae mweleze ukweli unavyojickia...kama anakupenda kweli atajirekebisha...

na ni vizuri nikiongea nae ana kwa ana ili yamwingie vizuri sema hii hali inanitisha!!!!
 
Back
Top Bottom