The End..
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 4,364
- 3,801
Habari za mchana wana MMU imani ni wazima wa afya.
Leo mwenzenu nina majanga yaani majanga.
Nina mpenzi wangu ambaye nimemwelezea sana humu JF ila la leo ni tofauti.
Kwa sasa amesafiri kwenda kwao Arusha sasa kule amekutana na mdogo ambaye anadai wanapendana kiasi kwamba wanachangia hadi vitu.
Nilikubaliana na yote ila hapa kwenye simu naona linanishinda muda mwingi nikimpigia simu yake inatumika hadi usiku na nitakapompata anadai alikuwa anatumia mdogo wake coz yeye hana simu.
Japo sio kawaida yake ila mwenzenu kiroho paaaa..
Hebu nisaidieni hapa siibiwi kweli.
cc miss chaga , watu8 ,Matola,Heave n on the earth, Tabibumtaratibu na wengineo
Leo mwenzenu nina majanga yaani majanga.
Nina mpenzi wangu ambaye nimemwelezea sana humu JF ila la leo ni tofauti.
Kwa sasa amesafiri kwenda kwao Arusha sasa kule amekutana na mdogo ambaye anadai wanapendana kiasi kwamba wanachangia hadi vitu.
Nilikubaliana na yote ila hapa kwenye simu naona linanishinda muda mwingi nikimpigia simu yake inatumika hadi usiku na nitakapompata anadai alikuwa anatumia mdogo wake coz yeye hana simu.
Japo sio kawaida yake ila mwenzenu kiroho paaaa..
Hebu nisaidieni hapa siibiwi kweli.
cc miss chaga , watu8 ,Matola,Heave n on the earth, Tabibumtaratibu na wengineo