pia mwenda tezi na omo marejeo ngamani...Na bandu bandu humaliza gogo......
Mgaaga na upwa.....hali wali mkavu.......
Ganda la mua la jana........
Ukiona zinduna........
me nimejaribu tu kubalance, kwamba chochote kinawezekanA vile mko mbali , so kuwa makini, endelea kumchunguza ili kupata uwakika kama anakusaliti au la,hebu kidogo unaniacha mbali mkuu!!!
namba 1,2,3 zinaonyesha kabisa kuna tatizo ila namba 4,5 zinanipa matumaini fafanua japo kidogo!!!
haya bhana nipe moyo tu!!!
unataka nije na uzi mwingine kuwa nimeukwaa!!!!
me nimejaribu tu kubalance, kwamba chochote kinawezekanA vile mko mbali , so kuwa makini, endelea kumchunguza ili kupata uwakika kama anakusaliti au la,
NB. kuendelea kumuhisi vibaya ni vibaya kama hana nia mbaya...
kama unauwezo mnunulie adroid umpe kama zawadi, then iache mspy ifanye kazi yake....angekuwa na android ningedownload mspy ila ana simu ya kawaida sana!!!
mmh!!! mkuu mbona unanijaribu......!!!!