NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,176
- 12,647
Nunua mbuzi kwenye gunia mkuu maana hakuna namna hapo.
Kwa sababu sio mkaaji ajitose tu akajaribu.Anataka si tumshauri kama ni kweli uyo binti ana bikra
Basi mpende na yeye,,lakin ananipenda
ukweli gani? na utajuaje ni ukweli? wanaume nyie huwa ni wajinga sana.kitu huwezi kuprove unakishikilia bango mwisho ufe na pressure bure.kama humtaki dada wa watu mwambie ukweli acha longolongoni bora niambiwe ukweli kuliko kudanganywa
Ni ngumu kuwa na uhakika kwa kile kinachotoka moyoni kwa mtu cha kufanya ni wewe mwenyewe ujitahidi kuiaminisha nafsi yako kile unachoambiwa.kama ikiwa ni kweli nipo tayari kutulia
Sisi tutajuaje sasa?
Safi,na huo ndio uanaume sasa.Sijawahi kumchunguza bata nikitaka kumla.....
mchina upo??hao wanaume wake wa nyuma wanakuhusu nini?
real..sasa kwanini anidanganyeHapo hakuna bikira. Wajanja washakula. Awe na mwanaume zaidi ya mmoja halafu asiliwe?
Bikira adimu sana kwasasa mkuu ni kama kuokota dhahabu njiani.
Angekuwa bikira wala asingekuficha juu ya wanaume wake wengine.
mchina upo??