mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 805
- 810
Habar ya asubuhi JF,
Kuna kiumbe kimoja pitapita zangu zangu huku na huku nikatitia kwenye mtandao wa Instagram nikakutana mtu anajiita Nabii KIBOKO YA WACHAWI
Ulinzi wake umeniacha kwenye mshangao!
Hii Nchi ina changamoto sana! Hasa watanzania waliopo wengi wana hali ngumu huyu jamaa anatumia kivuli cha dini kuwatapeli watu.
Wanatumia matatizo ya watanzania kupitia kwenye Dini ili kuwatapeli.
Kabla hajafika mbali hujamaa anatakiwa apigwe pin ya maana.
Ahsante
Kuna kiumbe kimoja pitapita zangu zangu huku na huku nikatitia kwenye mtandao wa Instagram nikakutana mtu anajiita Nabii KIBOKO YA WACHAWI
Ulinzi wake umeniacha kwenye mshangao!
Hii Nchi ina changamoto sana! Hasa watanzania waliopo wengi wana hali ngumu huyu jamaa anatumia kivuli cha dini kuwatapeli watu.
Wanatumia matatizo ya watanzania kupitia kwenye Dini ili kuwatapeli.
Kabla hajafika mbali hujamaa anatakiwa apigwe pin ya maana.
Ahsante