estlyjonathan
Member
- May 26, 2016
- 84
- 122
Habari zenu wana,
Nina mahusiano yapata miezi miwili (2) huyu mpenzi wangu nampenda sana, tatizo nikimtumiaga mesage huwa hajibu, hukimbilia kunipigia simu lakini hilo siyo tatizo kubwa sana kwangu, nilichoshangaa jana tukiwa tunakula kuna rafiki yangu wa kike kanipigia simu nikavunga nikajifanya sitaki kupokea akamaindi.
Baada ya muda simu ikakata akaichukua simu akawa mkali ikabidi nimuachie kufungua, nikamuuliza nani kapiga alishindwa kuisoma lile jina, akaanza kuuliza missed call ilioingia sasa hivi ni ipi, ndo nikamuonyeshea.
Napatwa na wasiwasi sana kuhusu hili na kuhusu elimu yake ameishia kidato cha pili, ila kuandika namba anajua tatizo meseji kujibu pindi mnapo chat hapo ndo tatizo, nifanyaje ili nijue ukweli au anafanya kusudi.
Naombeni ushauri wenu.
Nina mahusiano yapata miezi miwili (2) huyu mpenzi wangu nampenda sana, tatizo nikimtumiaga mesage huwa hajibu, hukimbilia kunipigia simu lakini hilo siyo tatizo kubwa sana kwangu, nilichoshangaa jana tukiwa tunakula kuna rafiki yangu wa kike kanipigia simu nikavunga nikajifanya sitaki kupokea akamaindi.
Baada ya muda simu ikakata akaichukua simu akawa mkali ikabidi nimuachie kufungua, nikamuuliza nani kapiga alishindwa kuisoma lile jina, akaanza kuuliza missed call ilioingia sasa hivi ni ipi, ndo nikamuonyeshea.
Napatwa na wasiwasi sana kuhusu hili na kuhusu elimu yake ameishia kidato cha pili, ila kuandika namba anajua tatizo meseji kujibu pindi mnapo chat hapo ndo tatizo, nifanyaje ili nijue ukweli au anafanya kusudi.
Naombeni ushauri wenu.