Nahisi mpenzi wangu hajui kusoma

Nahisi mpenzi wangu hajui kusoma

Habari zenu wana,

Nina mahusiano yapata miezi miwili (2) huyu mpenzi wangu nampenda sana, tatizo nikimtumiaga mesage huwa hajibu, hukimbilia kunipigia simu lakini hilo siyo tatizo kubwa sana kwangu, nilichoshangaa jana tukiwa tunakula kuna rafiki yangu wa kike kanipigia simu nikavunga nikajifanya sitaki kupokea akamaindi.

Baada ya muda simu ikakata akaichukua simu akawa mkali ikabidi nimuachie kufungua, nikamuuliza nani kapiga alishindwa kuisoma lile jina, akaanza kuuliza missed call ilioingia sasa hivi ni ipi, ndo nikamuonyeshea.

Napatwa na wasiwasi sana kuhusu hili na kuhusu elimu yake ameishia kidato cha pili, ila kuandika namba anajua tatizo meseji kujibu pindi mnapo chat hapo ndo tatizo, nifanyaje ili nijue ukweli au anafanya kusudi.

Naombeni ushauri wenu.

Mpeleke shule
 
Habari zenu wana,

Nina mahusiano yapata miezi miwili (2) huyu mpenzi wangu nampenda sana, tatizo nikimtumiaga mesage huwa hajibu, hukimbilia kunipigia simu lakini hilo siyo tatizo kubwa sana kwangu, nilichoshangaa jana tukiwa tunakula kuna rafiki yangu wa kike kanipigia simu nikavunga nikajifanya sitaki kupokea akamaindi.

Baada ya muda simu ikakata akaichukua simu akawa mkali ikabidi nimuachie kufungua, nikamuuliza nani kapiga alishindwa kuisoma lile jina, akaanza kuuliza missed call ilioingia sasa hivi ni ipi, ndo nikamuonyeshea.

Napatwa na wasiwasi sana kuhusu hili na kuhusu elimu yake ameishia kidato cha pili, ila kuandika namba anajua tatizo meseji kujibu pindi mnapo chat hapo ndo tatizo, nifanyaje ili nijue ukweli au anafanya kusudi.

Naombeni ushauri wenu.

Shule zinafunguliwa jumatatu. Funga mizigo, likizo imekwisha sasa. Tunakutakia safari njema na masomo mema. Ongeza bidii, maisha yana changamoto sana kijana wetu. Wasalimie waalimu wako.
 
Lakini mapenzi anajua!

Sawa ile ya kajinyonga mguu lakini kafa... oi
 
Ukimpenda mtu kwa dhati. Mengine ni masuala madogo tu lbd km ulifuata Nyapu.
Sasa ukipata ukweli utamuacha au?
Huenda hajui kutumia simu. Kuna baadhi ya wanawake hawajui kutumia simu, kutuma sms ni shida. Hata majina hawezi kutafuta kweny simu. Hata kupiga simu ni shida.
Mpe kalamu na karatasi akuandikie maneno matamu. Akishindwa ndiyo ujudge.
Lkn kwa sasa ni ngumu.
 
Habari zenu wana,

Nina mahusiano yapata miezi miwili (2) huyu mpenzi wangu nampenda sana, tatizo nikimtumiaga mesage huwa hajibu, hukimbilia kunipigia simu lakini hilo siyo tatizo kubwa sana kwangu, nilichoshangaa jana tukiwa tunakula kuna rafiki yangu wa kike kanipigia simu nikavunga nikajifanya sitaki kupokea akamaindi.

Baada ya muda simu ikakata akaichukua simu akawa mkali ikabidi nimuachie kufungua, nikamuuliza nani kapiga alishindwa kuisoma lile jina, akaanza kuuliza missed call ilioingia sasa hivi ni ipi, ndo nikamuonyeshea.

Napatwa na wasiwasi sana kuhusu hili na kuhusu elimu yake ameishia kidato cha pili, ila kuandika namba anajua tatizo meseji kujibu pindi mnapo chat hapo ndo tatizo, nifanyaje ili nijue ukweli au anafanya kusudi.

Naombeni ushauri wenu.
Kama ww unapenda mwanaume anayejua kusoma nenda ukaolewe na Head Master. Mpenz wako yupo Romantic sana hatak mambo ya kuandika andika anataka Straight point
 
Km ndo mke mtarajiwa jitahidi ajue kusoma
Hyo ni kwa sababu ya watoto wenu hapo badae.
Kwa maisha ya ki TZ mama ndiye mlezi mkuu,so asipojua kusoma sijui hizo hm wk itakuwaje.
 
Habari zenu wana,

Nina mahusiano yapata miezi miwili (2) huyu mpenzi wangu nampenda sana, tatizo nikimtumiaga mesage huwa hajibu, hukimbilia kunipigia simu lakini hilo siyo tatizo kubwa sana kwangu, nilichoshangaa jana tukiwa tunakula kuna rafiki yangu wa kike kanipigia simu nikavunga nikajifanya sitaki kupokea akamaindi.

Baada ya muda simu ikakata akaichukua simu akawa mkali ikabidi nimuachie kufungua, nikamuuliza nani kapiga alishindwa kuisoma lile jina, akaanza kuuliza missed call ilioingia sasa hivi ni ipi, ndo nikamuonyeshea.

Napatwa na wasiwasi sana kuhusu hili na kuhusu elimu yake ameishia kidato cha pili, ila kuandika namba anajua tatizo meseji kujibu pindi mnapo chat hapo ndo tatizo, nifanyaje ili nijue ukweli au anafanya kusudi.

Naombeni ushauri wenu.
Mpeleke shule
 
Namfahamu huyo kijana, ila siongei sana maana hata wewe unanijua
 
Duuh..kuna uyo mzee alikua hajui kusoma Ana mtoto wake wachekechea

kila mtoto akirudi shule Ana muuliza umefundishwa nini mtoto anasoma Baba naye anafatiliza

kila siku ikawa nao desturi na wala mtoto hakugundua km Baba hajui kusoma na yule mzee alijua kusoma kupitia mwanae

mtoa mada: tafuta mtoto kila ukiwa na mpenzi Wako unakaambia kasome mbele yenu kila siku km anania yakujufunza atakua interested..
Hii nimeipenda kwa kweli

Mtoto kawa mwalimu kwa baba yake ila kwa njia ya mwendo kasi.
 
Hapa sijaelewa kwa kweli

Mkuu mtoa mada wewe ni mwanamke au mwanaume?

Maana wachangiaji baadhi wanakushauri kama mwanamke na baadhi wanakushauri kama mwanaume.

Naomba kujuzwa tafadhali
 
Hapendagi tu kuandika meseji na kusoma sidhan kama ulimwengu wa leo mtu yupo town asijue kusoma na kujibu msg tena mwanaume, apo ni mtego ww rukaaaaaa
Bila shaka haupo dunia hii au ndio wale Magu aliosema wanaishi kama malaika. Yaani mtu anafika form one hajui kusoma, mtaani atakosekana asojua kusoma? Wapo KIBAOOOOO.
 
Back
Top Bottom