WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 590
- 430
Wana jamvi nina mpenzi wangu mara kwa mara amekuwa akisema ana umwa. Mara nyingi amekuwa akisumbuliwa na kichwa pia maumivu tumboni na maeneo ya mbavu. Kila nikiwambia tukapime anadai eti ni hali ya kawaida huwa inamtokea na kuisha. Napenda kujua yafuatayo
1. Ni dalili zipi za awali kabisa za mtu mwenye HIV/AIDS
2. Nini ushauri wenu katika hali kama hii?
1. Ni dalili zipi za awali kabisa za mtu mwenye HIV/AIDS
2. Nini ushauri wenu katika hali kama hii?