Zaburi 23
JF-Expert Member
- Feb 22, 2017
- 570
- 650
Kama maada inavyojieleza hapo juu, Nahisi wife anamegwa nje coz kuna mambo anayafanya humu ndani nahisi ipo hivyo.
Picha linaanza imefika stage kawa na kiburi nikimwambia kitu anaweza kukujibu staki ikiwa ni moja ya majukumu yake humu ndani so nashindwa kuelewa nini kinasababisha hadi awe hivi.
Kama jana nimefika home kama kawaida nimemkuta anaangalia tamthilia (Chizi Mapenzi, Star Swahili) nikamwambia anichemshie maji ya kuoga coz mimi ni muumini wa maji ya moto kutokana na hii kazi nnayoifanya mara nyingi nikirud Huwa nahis baridi sana na kulala bila kuoga siwezi, tuendelee na kibao.
Kumwambia anichemshie akakataa katukatu nikajiuliza huyu ana nini mbona yupo hivi ikiwa mchana aliniomba pesa kuna mazaga yake akanunue nilimpatia bila ubishi.
Mwanaume nikatoa sufuria nikawasha gesi nikainjika maji yalivyochemka nikaweka kwenye ndoo ili nikaoge cha ajabu ile namalzia kuoga huyuuu na yeye akataka kuoga sikumkatalia akaoga tukaingia ndani kula na msos ukalika bila tatzo.
>>> Inaendelea hapa
Picha linaanza imefika stage kawa na kiburi nikimwambia kitu anaweza kukujibu staki ikiwa ni moja ya majukumu yake humu ndani so nashindwa kuelewa nini kinasababisha hadi awe hivi.
Kama jana nimefika home kama kawaida nimemkuta anaangalia tamthilia (Chizi Mapenzi, Star Swahili) nikamwambia anichemshie maji ya kuoga coz mimi ni muumini wa maji ya moto kutokana na hii kazi nnayoifanya mara nyingi nikirud Huwa nahis baridi sana na kulala bila kuoga siwezi, tuendelee na kibao.
Kumwambia anichemshie akakataa katukatu nikajiuliza huyu ana nini mbona yupo hivi ikiwa mchana aliniomba pesa kuna mazaga yake akanunue nilimpatia bila ubishi.
Mwanaume nikatoa sufuria nikawasha gesi nikainjika maji yalivyochemka nikaweka kwenye ndoo ili nikaoge cha ajabu ile namalzia kuoga huyuuu na yeye akataka kuoga sikumkatalia akaoga tukaingia ndani kula na msos ukalika bila tatzo.
>>> Inaendelea hapa