Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
narudi
umenifurahisha Sana hapo,kwenye jukumu lako la kuoa.Hapo hujamuingiza ndani rasmi anakunyima,akiingia ndani rasmi kitakachofuata ni kuchomana moto.
Jombaa suala la mapenzi ni lako na mwenza wako.utashauriwa hapa lakini ukija ndani mawazo yanarudi kwako.
Za kuambiwa changanya na zako.
Ukijua hitaji lako la kuoa ni nini basi jibu utalipata kama huyo mwanamke anakufaa au hakufai.
Mfano mimi hitaji langu la kuoa ni kwamba nipate u.chi kwa muda muafaka.sasa nikiwekewa vikwazo na kunyimwa maana yake ni kwamba ndoa hiyo hainifai.mkuu jitafute
Wabena hatuna hizi mambo za kuchepuka siyo wanawake wala wanaume.
Umewahi kuwa na Mwanamke wa kibena mpaka iseme wanawake wa kibena ni jeuri . Wanawake wakibena wanajulikana kama wanawake wavumilivu na watiifu
Mara ya mwisho mi niliona Mtwara, lindi na Tanga zinaongoza. Takwimu zako ni za mwaka gani?Wabena ni wahehe baadhi yao wanaoongoza Kwa unafiki na hila!
Ni watu wakujipendekeza sana hata Kwa gharama ya wengine huwa hawajali.
Anachosema mdomoni sicho anachomaanisha moyoni.
Halafu kwa ushirikina na uchawi usiulize!
Mbona kwenye Wabena wengi ndio kunaongoza kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi?
Kwa mujibu wa Tacaids Njombe, Iringa wanaoongoza wengine wakifuatia.
Usije ukajichanganya eti ukaoa mhehe au mbena...ni wanafiqi wa olympics. Anaongea hiki moyoni ana kileWabena ni wahehe baadhi yao wanaoongoza Kwa unafiki na hila!
Ni watu wakujipendekeza sana hata Kwa gharama ya wengine huwa hawajali.
Anachosema mdomoni sicho anachomaanisha moyoni.
Halafu kwa ushirikina na uchawi usiulize!
Mbona kwenye Wabena wengi ndio kunaongoza kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi?
Kwa mujibu wa Tacaids Njombe, Iringa wanaoongoza wengine wakifuatia.