Nahisi kuna Project ya wanamtandao kutumia Manabii kutoa tabiri zenye lengo la kuipooza Mioyo ya Wananchi

Nahisi kuna Project ya wanamtandao kutumia Manabii kutoa tabiri zenye lengo la kuipooza Mioyo ya Wananchi

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Nianze Kwa kuwataka Wananchi, Hakuna Kupoa , Hakuna Kumwachia Mungu, tupambane ,tukimuomba Mungu ,Maandamano yakiendelea bila Kikomo.

Ninahisi, Msululu wa Hizi Nabiii, lengo lake ni Kupooza mionyonya Watanzania, Wahisi kwamba Wao kama Watanzania hawana Wajibu wa Kupigania Nchi yao, Wananchi wajihisi Jukumu lao ni kulala na Kulala na kumuachia Mungu.

Hali hii utafanya MIOYO ya Watanzania Kupoa, kutulia huku wkaijipa MIOYO ,kusubiri Wakati wa Mungu kutenda Miujiza, .Katika kipindi hiki Cha kusubiria, MIOYO ya Watu itakua imesharidhika na Matokeo , hawataona umuhimu wa Kupambania Nchi yao, Kisha kama Mzaha, SAMIA ANAGONGA 2030.

Wanachotafuta Wanamtandao ni MUDA ,yaan wanahitaji Muda kujipanga ,Wanahitaji Muda kuhalalisha Utawala wao, Wanahitaji Muda kuweka mambo Yao sawa.

Na Ili wapate Muda, wanatafuta namna kwanza ya Kuwatuliza Wananchi, Kisha wapate huo Muda.

Ikiwa Wananchi wataendelea Moto bila Kupoa Wala Kumuachia Mungu, Hii Serikali Kila kiti watakiona ni Cha Moto !!!! .

Mbinu hii inaitwa 'Jiunge nao '.

Hii Mbinu inafanyika katika hatua Mbili.

1-SAMIA SULUHU ASIONEKANE MAHALI POPOTE PALE .

2-NCHIMBI ASIONEKANE MAHALI POPOTE PALE.

3-MANABII KUTOA UNABIII

( Lakini mtakua mnamuona Mara Moja Moja Samia au Nchimbi wanajitokeza ,mara Moja Moja sanaaaa, Kisha Wanapoteaaa kimyaaaaa ,nyiemnaanza kuwatafuta baada ya Mwezi anaonekana, itakua hivo mwezi Hadi mwezi, mwaka Hadi mwaka mnadhangaa 2026 IMEISHA !!!.)

Kutokuonekana Kwa Samia kutaongezea hali ya kuaminika Kwa Manabii , na Sintofaham ya Wapi alipo, anafanya nn, ni mzima wa Afya au lah, itaendelea Kuwapa Moyo Watanzania , wadhanie Ile siku ya SAMIA KUFA IMEFIKA.

Hivo Watanzania watauacha Wajibu wao wa Kupigania Nchi na Kuikomboa.

LISSU ALIWAHI SEMA "NCHI HAKIKOMBOLEWI KWA MAOMBI, WALA HAKUNA KUMUACHIA MUNGU, NCHI INAKOMBOLEWA KWA MAPAMBANO ".

RAI YANGU " Tuwasikilize Manabii na jumbe zao, ila Kama Wananchi Tuendeleze harakati zetu za Kuikomboa Nchi kupitia MAANDAMANO na Kila linalowezekana ".
 
Mnakumbuka kule Twita yule anajiita DAUDI BALALI....

Alitoaga twiti yake alisema 2025 Uchaguzi Kwa CCM hautabiriki .?.


Watanzania wakaiamini Twiti Ile , majuzi akatwiti, Samia atashinda Kwa zaidi ya 87?.
 
Wewe dickhead vipi mbona hujaandamana D9 ?
Wewe ni fyongo kabisa, makelele mengi humu juzi hapa kuwa mtakiwasha, mliogopa kula za vichwa ?
Kenge wewe, utabaki kubwabwaja humu
 
Wewe dickhead vipi mbona hujaandamana D9 ?
Wewe ni fyongo kabisa, makelele mengi humu juzi hapa kuwa mtakiwasha, mliogopa kula za vichwa ?
Kenge wewe, utabaki kubwabwaja humu
Kazi ya Kichwa ulichopewa sio kushikilia Shingo
 
kanisa pekee linaloaminika kwenye hali ya sasa ni roma catholic na mengine machache kina Gwajima, huko kwengine watu wanaenda kwenye mambo mengine, wameshapoteza imani na wachungaji wao kwenye mambo ya siasa
 
kanisa pekee linaloaminika kwenye hali ya sasa ni roma catholic na mengine machache kina Gwajima, huko kwengine watu wanaenda kwenye mambo mengine, wameshapoteza imani na wachungaji wao kwenye mambo ya siasa
Sahihi, Catholics Hawa Kila Hatua yao sio ya mashaka Wala kimtego.
 
Kazi ya Kichwa ulichopewa sio kushikilia Shingo
wewe mbuzi juzi hapa ulikuwa na makelele mengi kuwa d9 mnamaliza kazi, na mtafika mpaka ikulu, ulikuwa wapi juu ya dari au uvunguni, kwanza nahisi unaishi mikoani huko maporini hata hujui kinachoendela Dar
 
wewe mbuzi juzi hapa ulikuwa na makelele mengi kuwa d9 mnamaliza kazi, na mtafika mpaka ikulu, ulikuwa wapi juu ya dari au uvunguni, kwanza nahisi unaishi mikoani huko maporini hata hujui kinachoendela Dar
Haswaa na tulikua tunaingia IKULU, hata hivo haijaisha ,TUTAINGIA.

hamuwezi Kuteka watu, na Kuua watu kama Kuku, alafu mtawale .


Mngetulia kama Ok29 ndo mngeelewa !! Kwann mlimwaga Wanajeshi na Maaskari Majumbani na Vichochoron??.

Simmeshinda Kwa 98?? Mngetulia mtetewe na walowachagua.

Pumbavu.
 
Yote yanaweza kuwa ila kiuhalisia kuna uwezekano wanaotangaza Amani hawana Amani ya ndani😂😂😂
 
Yote yanaweza kuwa ila kiuhalisia kuna uwezekano wanaotangaza Amani hawana Amani ya ndani😂😂😂
Ni hakika Amani hawana Kwa sababu hawajui ni wapi, muda gan ,kutoka Kwa nani kitawalambia.

Jambo walonalo uhakika ni kua wanajua Wanawindwa.
 
Haswaa na tulikua tunaingia IKULU, hata hivo haijaisha ,TUTAINGIA.

hamuwezi Kuteka watu, na Kuua watu kama Kuku, alafu mtawale .


Mngetulia kama Ok29 ndo mngeelewa !! Kwann mlimwaga Wanajeshi na Maaskari Majumbani na Vichochoron??.

Simmeshinda Kwa 98?? Mngetulia mtetewe na walowachagua.

Pumbavu.
Mnatia huruma sana, na nadhani pia mtakuwa mna matatizo ya afya ya akili kutokana na msongo wa mawazo kwa jinsi vijana masikini na bodaboda walivyowashtukia kwa jinsi mlivyofanya wauliwe kama kuku
Sasa mmbebaki nyinyi makibodo woria mafisi wote mtabaki kupiga makelele mitandaoni
 
Kwa Mauaji aloyafanya Samia, kashauriwa kujificha asionekane, kwakua kuonekana kwake kunazaa Hasira
 
Bwana mdogo kwenye hili ulikuwa mbele ya muda sana! Nguvu ya umma ndio itakayoleta mabdaliko ya kweli na sio maombi pekee (au kumwachia mungu) dua tunapiga lakini kazi pia tunachapa, NAUNGA MKONO HOJA!
 
Nimewaza hivyo pia.

Kila mtu anatabiri mauti ya butcheress ili tu kuwapa watu matumaini.
 
Back
Top Bottom