Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

Sio nikaulize kwetu hakuna mtu mweupe. Sio Kwa baba, sio Kwa mama wote tinted. Labda kwao ila sijamuuliza nataka asishtuke kama namchunguza huyu dogo.
Mtoto akizaliwa kama atakuwa mweusi unamtizama kwenye pingili za vidole vya mikono huwa nyeusi na kwenye sikio huwa kweusi yaani kama atakuja kuwa hivyo ndio huonesha.
Ndio maana mtu akijichubua kwenye pingili za mikono kunabakia na rangi ya awali, we mpe mama yako ama dada zako kama wakikutembelea wao ndio watakupa jibu kama una mashaka.
 
Huu Uzi umenikumbusha kijijini kwetu Kuna msala ulitokea ambapo kijana alichinja kitoto kichanga Cha miezi miwili baada ya kugundua sio mtoto wake.

Ila wanawake Ni wabaya Sana jamani dah🤔
 
Mwisho wa siku wana peleka sample kwa mkemia mkuu. Mashine na mwenye ruksa ya kufanya hiyo analysis ni mkemia mkuu tu.
Na wewe umeamini kabisa kwa akili zako kwamba Agha Khan, Kairuki, TMJ wanamtegemea mkemia mkuu hata wao kujua watoto kama ni wao au lah!??😆😆, Mbona mnakuwa kama wageni kwenye nchi yenu ya Tanzania!??.. Nimesema hospitali binafsi kibao zinapima DNA mengine ni kujiongeza. Hiyo mashine ya kupima DNA hata wewe unaweza kununua ukawa nayo nyumbani. Ni vile watu hamna taarifa sahihi na za kutosha.
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Acha ujinga. Hata wewe hujui kama ni zao la unayemwita baba. Kingine, mtoto anaweza asikufanane mojakwamoja lakini ukichunguza vzr unakuta mnashare the same DNA (anawezafanana hata na ujombani kwenu kupitia mama yako ama bibi/babu yako) hizo alama unazoziona kwake mnafanana ndio uhalali wa yeye kuwa mwanao. Unless umewahi kumfumania mkeo au kujua ana mchepuko.
 
Hahahahaha nimecheka kama mazuri hivi ila mi wangu anamiezi 11 na anafanana na watoto wa jamaa alifikia wife wakati anakuja town kwa ajili ya maandalizi ya ndoa but navunga nalo tu nangoja akue kue ukweli utabainika but now naguhumia ndani kwa ndani
Poleeee
 
Kapima DNA kisiri siri kwa wataalam kwa mlango wa uani utakuja kunishukuru baadae. Kuna jamaa yangu ya watoto wake wote kawapima bila mkewe kujua hii nchi ngumu sana.
 
Ulimkuta bikra?

Tumia DNA test hii ya kiasili, akiwa amelala, chukua mshedede wako gongesha kwenye utosi, kama sio wako, atakufa pale pale.
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Hii konyagi kavu sio bure
 
Huyo mtoto ndio anaweza kuja kuwa msaada wako uzeeni, mara nyingi watoto waliokataliwa huja kuwa na maisha mazuri baadae. Tulia mpende mtoto kuna watu wengine wanakoswa watoto maisha yao yote na bado wanalea watoto sio wa kuzaa.
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Nyie ndo wale washkaj ambao huwa mnasema au mnajifanya kuwa mwanamke hachungwi eti unajifanya kutofatilia mienendo na harakat za wife wako matokeo yake ndo hayo mzee lazima uletewe bao la mwanaume mwenzako ndani ya nyumba kula chuma hicho!
 
Naskia Kwa hapa TZ hizo DNA zikitoka tu kwa mkemia hatakama mtoto sio wako utaambiwa ni wako. Wanahofia familia itasambaratika na mtoto ataishi katika mazngira magumu hivyo hata kama sio wangu mkemia ataniambia hongera sana kijana... Moto ni wako asilimia mia. Sasa hayo yote ya kudanganywa na mkemia ya nini!!!
Inabidi kutengeneza scenario kwamba ulichepuka na mke wa mtu sasa unataka kudai mtoto wako. Dawa ya moto ni moto hapo lazima waseme ukweli.
 
Back
Top Bottom