Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,405
- 5,228
Mtoto akizaliwa kama atakuwa mweusi unamtizama kwenye pingili za vidole vya mikono huwa nyeusi na kwenye sikio huwa kweusi yaani kama atakuja kuwa hivyo ndio huonesha.Sio nikaulize kwetu hakuna mtu mweupe. Sio Kwa baba, sio Kwa mama wote tinted. Labda kwao ila sijamuuliza nataka asishtuke kama namchunguza huyu dogo.
Ndio maana mtu akijichubua kwenye pingili za mikono kunabakia na rangi ya awali, we mpe mama yako ama dada zako kama wakikutembelea wao ndio watakupa jibu kama una mashaka.