Siamini sana mambo ya nyota ila kwa yanayonitokea yanajifanya niamini hivyo, mimi ni mtumishi na nilikuwa na miradi yangu nje ya kazi lakni ni miaka miwili sasa mambo yamekuwa magumu sana, biashara nimefunga mambo yote yamesimama kila nikipanga kufanya jambo fulani kunatokea kitu cha kuvuruga mpaka nakata tamaa, maisha yamekuwa magumu mpaka inafika wakati nakosa hata hela ya kula wengi wananishauri niende kwa wataalamu yaani waganga wa kienyeji ila nasita kufanya hivyo. Hali hii sijui inasababishwa na nini kwakweli