Nahisi kama nyota yangu imechukuliwa

Nahisi kama nyota yangu imechukuliwa

Kuhusu mambo magumu Huwa ni chaguzi zetu wenyewe tu ambazo tunazichagua iwe kwa kujua au kutokujua sawa kwanza badilisha mtazamo wako kuhusu maisha pesa nakazalika pia chukua chumvi ya mawe changannya na majani ya mbaazi uogee usiku usiogee chooni ukiwa unaoga nuia unachotaka iwe kuondoa nuski na mabalaa au kudhihirisha pia jifunze kufanya meditation itakusaidia kama una amini waganga nenda TikTok kmtafute tazgeniousplatnam atakusaidiaa
 
Kingine tareh kumi na Moja 11/1 mwezi wa kwanza kutakuwa na new moon mwezi ukishatoka Toka nje ukamanifest unachotaka kiwe kweny maisha yako
 
Mhhhh
Kwa waganga ndo utapotezwa kabisa.

Mkuu,Huwa unatoa sadaka? Sadaka sio lzm kanisani ht Kwa watt yatima,wajane nk
Huwa unaomba na kumkabidhi Mungu kwanza?

Eneo la mahusiano likoje? Umeona? Maana mambo ni mengi

Kazini kwako,unaishi vipi na staff wenzio,wakoje?
Ila sadaka nilikuwa nimejisahau kidogo kwakweli
 
Humu jf huna uliekosana naye?
Kuna vizee na vidada vichawi sana humu,
Nilishapishana na kidada kimoja kidogo tuu humu,
Kikaniambia "unalinga na hizo mali zako tutaona"

Nikajiuliza nina mali gani sasa?
Nafika nyumbani vikuku vyangu vyote vimekufa mpaka mapaka..
Halafu kinakuja kunisalimia eti Hiiii
 
Afanye kazi Kwa bidii na awe nidhamu ya PESA.
Najituma sana na ninanidhamu sana ya pesa ndo maana nashangaa haya yanayotokea napitia kipindi kigumu sana katika maisha maana biashara imebaki moja naona nayo naelekea kufunga kwa kudondoka mtaji
 
Kuhusu mambo magumu Huwa ni chaguzi zetu wenyewe tu ambazo tunazichagua iwe kwa kujua au kutokujua sawa kwanza badilisha mtazamo wako kuhusu maisha pesa nakazalika pia chukua chumvi ya mawe changannya na majani ya mbaazi uogee usiku usiogee chooni ukiwa unaoga nuia unachotaka iwe kuondoa nuski na mabalaa au kudhihirisha pia jifunze kufanya meditation itakusaidia kama una amini waganga nenda TikTok kmtafute tazgeniousplatnam atakusaidiaa
Asante sana mkuu nitafanyia kazi
 
Najituma sana na ninanidhamu sana ya pesa ndo maana nashangaa haya yanayotokea napitia kipindi kigumu sana katika maisha maana biashara imebaki moja naona nayo naelekea kufunga kwa kudondoka mtaji
Pole San usijali ebu oga chumvi ya mawe na majani ya mbaazi kwa siku Saba au uwe unaenda baharini kuoga kutoa manuksi kipenzi [emoji848]
 
Humu jf huna uliekosana naye?
Kuna vizee na vidada vichawi sana humu,
Nilishapishana na kidada kimoja kidogo tuu humu,
Kikaniambia "unalinga na hizo mali zako tutaona"

Nikajiuliza nina mali gani sasa?
Nafika nyumbani vikuku vyangu vyote vimekufa mpaka mapaka..
Halafu kinakuja kunisalimia eti Hiiii
Duuuh
 
Kuna nyakati chini ya jua, nyakati za kupata na nyakati za kukosa...

Sasa ni wakati wa kutafakari zaidi...

Hakikisha unajua ni nani amesababisha ukose, yaweza kuwa Mungu kwa majaribu na yaweza kuwa shetani.
 
Walimwengu ni wabaya, hawataki maendeleo ya mtu, ni kweli nyota zipo na zinachukuliwa ukizubaa. Ila kumpata mtaalamu wa kweli hapa mjini ni shida, nakushauri uende kijijini kwa wazee wa jadi wakupe mwongozo. Ujue hizi dini zinapumbaza watu, wajanja wanafanya haya mambo kimya kimya.
Ate kumbe ife ni hatari
 
  • Thanks
Reactions: Cog
Back
Top Bottom