haya bhana mkuu nipe councelling as u can....!!!!!!!!!!!
Mimi nakushauri don' trouble ya'self na nyanga za mapenzi kwa sasa...
Ya still young na ndio kwanza upo mwaka wa kwanza kama sikosei...
Huu si muda wa kuanza kuwaza ndoa, kwa sasa mshike elimu maana hii ndio stage ambayo unasomea jambo ambalo ni msingi wa career yako...
tatzo sio kumuonyesha wewe mwenyewe nafs yako imemdharau tayar, na kingne unaeza ukawa hujaonyesha ila maneno au vtendo vyako hata kwa bahat mbaya tayar imeshakupunguzia maksi na swala jengne hujwah kukaa ukajiuliza kwannn hao ndugu zake wakupinge weweila sijamwonyeshea dharau yoyote kwake hadi kwao kwann wanifanyie hivyo!!!!
Habari zenu wana MMU
Labda niende moja kwa moja, nina mpenzi wangu ambaye kiukweli nampenda na yeye ananipenda ila nina kitu kinanikwaza.
Huyu mwenzangu yeye hana elimu kwani form 4 alipata zero.
Pia amejaribu kurudia ila mambo yale yale, upande wa familia ya kwao ni kaka yake tu anayependa penzi letu ila waliobaki hawataki kisa eti wamemtafutia mchumba kijijini.
Sipendi kuonekana nimemchezea na kutoka moyoni nampenda kweli, nishaurini je, nikomae na hali hii au nitafute usawa mwingine.
Fight for your love wewe, kwani yeye ana matatizo gani zaidi ya kufeli fomfoo?
peleka kuleee niache nile maisha nikifa leo unaihisi nitasema nini kwa mungu.......!!!!!
lazima nitii amri...!!!
ha!! ha!! ha!!
kwann unasema hivyo mkuu!!!