Nahisi harufu ya mlenda pori chooni

Nahisi harufu ya mlenda pori chooni

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,586
Reaction score
66,303
Hellow guys

Leo nimetoka gym muda sio mrefu nimefika nimeangalia tamthilia yangu pendwa two brothers.

Baada ya kuisha nikaenda kuoga nimefika chooni nahisi harufu ya mlenda pori achana na mremba wa majani ya maboga ule mlenda pori unanukia balaa nikaona nikaoga nikamaliza

Sasa hapa bado nawaza je niite mganga aague au nikazane na maombi au nimebaki njia panda

Au ni kawaida
 
Samahani mkuu mi naomba kuuliza, hivi kulikuwa na haja ya kusema Habari za kuangalia tamthilia tena hadi na jina lake au ratiba ya kutoka gym ndio uulize Habari za mlenda wako?

Ungesema tu umeingia bafuni ukasikia harufu ya mlenda kungekuwa na nini boss?

Anyway hatupangiani cha kuandika lakini, tecno ni yako na bando ni lako au vipi.

Tukija kwenye swali lako, kesho ukiamka asubuhi zunguka nyuma ya choo/bafu lako utakuta mlenda umeota huko kwenye ule ukijani ukijani wa maji yanayotoka bafuni
 
Nilikuwa naoga sikwenda kwasababu ya haja iyo nilikua naondoa jasho la gym
Anhaa, kama hivyo ngoja tuendelee kuwasubiri wajuzi zaidi. Kama ungekuwa umekata gogo basi jibu lingekuwa limeshapatikana kuwa ni harufu ya gogo hilo linalokatwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom