KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,068
Hii dhana ya kupinduliwa huwa siielewagi."Dada ananiambia mama acha kuandaa chakula nitaandaa mie natamani baba ale chakula changu" .......Wanaume ni dhaifu sana, usipochukua hatua ndoa inaenda kuingia kwenye misukosuko mikubwa muda siyo mrefu,unaenda kupinduliwa.Mfukuze(Kuna siku utaukumbuka ushauri huu usipochukua hatua)
Ina mana huyu binti ana utaalam extra ambao mke hana au?!