radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,412
- 6,448
mabinti wadogo inatakiwa wawe shule, haki elimu itakushitakiPole Aisee
It's true Sisi tusio weza kuzungumza Kun mda yanakukuta unajiuliza Au huu ni unyonge Wangu ?
Anywayzz, Hapo ni bora Mume wako anakuonesha Ushirikiano laiti Kama angekua anavunga Maswali yangekua Mengi kwako
Ni vizuri wadada wa kazi Wawe vibinti vidogo vidogo, Huy anaonekana Mkubwa na anayajua Vizuri
Wewe and Mumeo ndio wenye Maamuzi
Mtimueni
Sent using Jamii Forums mobile app