mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,336
- 6,426
- Thread starter
- #81
mkuu kuwa na moyo mkubwa huyo siyo mama yako wadada wengi tu kuwa mpole chagua tena wapo sana tu.
Daah kwel mkuu
mkuu kuwa na moyo mkubwa huyo siyo mama yako wadada wengi tu kuwa mpole chagua tena wapo sana tu.
kwel mkuu
Datz true mkuu ngoja nifanye yangu
Achana nae kaka ndo kawaida yao wakishaingia chuo hasa kilicho mbali nawe. Ilishamtokea rafiki yangu nae hivyo hivyo demu yuko nae toka O Level chuo wakasoma tofauti ndio mabalaa yakaanza, sasa ashaachia ngazi maana dem alikua hata aeleweki. Hapo atakua ashajiweka kwingine.
Ndo ivyo mkuu fanya yako kwa muda wote uliokuwa nae naiman kun meng mazur aliyaon kwako ndo maan akaamua kukaa na wew mda wote huo sasa iv itakua kpt mtu anayemdangany dangany ndo inampa kibur wew song mbele ipo siku tu...atakuja mwenyew
pole kwa maamuzi uliyochukua jipende mwenyewe kwanza
Bora umeamua kuachana naye!!! ukiona mpenzi hataki mawasiliano na wewe na mbaya anazima simu hasa usiku, jua ana mtu mwingine!!! Piga ua huo ndiyo ukweli wenyewe!!! Na mapenzi hayalazimishwi hata kidogo, ukiona hayapo sepa.
hahaha anagonga nini?Hahahaa haaaa
Serious kaniboa kishenzi
Wengine tulipokuwa chuo tulikuwa hat huthubutu kuwa na mtu unamwaza mtu wako tu, halafu mtu mwenyewe anagonga ht hakujali
Usiku anazima simu! afu anachoka kuongea na wewe? Think outside the box brother.
hahaha anagonga nini?
kuchapiwa siri ya ndani
habari ndugu zangu wa mmu,mimi ni kijana nina mpenzi wangu wa kike ambaye nampenda sana nimeanza kuwa na mahusiano naye toka yy akiwa form 3 na huku mimi nikiwa namaliza form six(2008).kwa sasa tuna miaka mitano katika mapenz yetu.tatizo ni kwamba sasa amebadilika amekuwa na kiburi na mwepesi wa kulaumu .ameanza tabia hyo mwaka jana alipoingia chuo huko moshi,nikimwambia kitu anasema me na wivu sana sijui simwamini ,siku hizi nikimpigia simu usiku anadai amechoka mara anazima simu usiku hapatikani .nimemwambia abadilike lakin sijaona any change.kiukwel nampenda na nimemzoea sana kila nikijaribu kumwacha nikifikiria nilikotoka naye naumia. msaada wa maoni yenu plz
NB mimi nishamalza chuo na ninafanya kazi na matumiz madogo madogo nampa
Update
Now nimeachana naye rasmi baada ya kuconfirm hanipendi ila hajasema reason za kutonipenda kumbe nilikuwa najpendekeza kwake.
Sasa wewe ulikuwa unachaplikachaplika tuuuu wenzio weshalikunja toto hadi likatoa supu ya mifupani hapo litakumaindi tena si linakuona ha.ni..s tu
huyo alisha kuzoea na kuku choka na alisha pata mwingine huko chuoni new brand...wasichana wengi wakifika chuo huwa wako hivyo wanachanganyikiwa na kusahau ya nyuma,jikaze achana naye utaona reacyion yake na ufanye uchunguzi mdogo tuuu utagundua kitu....
Ndo najikataa dadaangu sitak pressure nimembembeleza vya kutosha nakumvumilia