Nahisi ananidanganya msaada jaman

Nahisi ananidanganya msaada jaman

ulitakiwa kusoma alama za nyakati
 
Sahz nimejfanya ---- kumpgia cm nilichomwulza na alichonijbu daah
Amekujibu nn tena!!?

Roho inaniuma, so sorry, hilo nalo litapita, kwani mangapi yamepita bana!!!? Jikaze.

Mpotezee nakwambia akishamaliza chuo atakuja mwenyewe analia, sshv c bado wanadanganyana na mashost, subiri aje mtaani huyo ww tulia tu, suala la muda tu
 
Kwel maria yaan nshaanza kuwachukia galz daah

No usichukie bana coz kumbuka wapo waliotulia nao wanapata wanaume vicheche.
Cha msingi muombe Mungu akuondolee hyo roho ya uchungu na akupe atakaekupenda kwa dhati, somtym unaweza kua una epusha wa kitu who knws!!!?
 
Hahahaa haaaa
Serious kaniboa kishenzi
Wengine tulipokuwa chuo tulikuwa hat huthubutu kuwa na mtu unamwaza mtu wako tu, halafu mtu mwenyewe anagonga ht hakujali

Hongera maria xo nowdayz anakujal?
 
No usichukie bana coz kumbuka wapo waliotulia nao wanapata wanaume vicheche.
Cha msingi muombe Mungu akuondolee hyo roho ya uchungu na akupe atakaekupenda kwa dhati, somtym unaweza kua una epusha wa kitu who knws!!!?

Kwel maria who knows mipango ya mungu ming bwana
 
Back
Top Bottom