Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
nusu siku kaona muda mrefu??? Nimegundua unamwendekeza sana ndio maana kaona amekushika vilivyo... Amekuzoea sana kiasi kwamba anakuona wa kawaida sana,hajaona thamani yako mpaka pale atakapokukosa.cha msingi play it cool,usimwaze sana ukaumiza roho yako,keep youself busy.jiwekee wazi kwamba ni fifty fifty chance ya kuwa nae.yote yanawezekana jipe muda tu..nilishawah mfanyia hvo mkuu nilikaa nusu cku bila kumtafuta jioni aliniomba msamaha nakusema hata rudia