Naharisha wakuu, niombeeni nipone haraka

Naharisha wakuu, niombeeni nipone haraka

Sijui ni nn kipindi hiki mm ilinikut juzi sijatoka home sijala nje nilipilka vyakula vya kawaida
Ila shughuli niliipata 😀😀
Labda ni maradhi tu ya matumbo
Hadi mtoto mzuri kama wewe uliendesha? Nimelia kwa sauti...
 
Hapo nasikia boda boda bodobdodoooooododoosos😄.


Hapo ukiingia choo UNAKUWA inabana bana WATU wasisikie mara fiu ...popopo.. fiu, paratatata....hapo kama choo kipo karibu na wadada aa itakuwaje😄😄😄
Mtu kama GENTA anafyatua tu. Yeye hajali kama mgurumo mkali unasikika ama lah.
 
KULA PUMBA ITAKATA MUHARO MKUU. SI UNAJUA PUMBA INATABIA YA KUFYONZA MAJI MAJI?
 

Attachments

  • IMG_20260425_003425.jpg
    IMG_20260425_003425.jpg
    475.5 KB · Views: 7
Nenda kachekiwe kiongozi usije kuishia kuwa marehemu baba Kijacho.
 
Back
Top Bottom